Habari ndugu zangu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 38, nina elimu na nimeajiriwa serikalini, si mrefu, si mfupi, nina kama cm 168.
Naitaji mke mwenye elimu na aliyeajiriwa serikalini au sekta binafsi, na mwenye elimu, mwenye umri kuanzia 25 na kuendelea. Uwe muhitaji.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 38, nina elimu na nimeajiriwa serikalini, si mrefu, si mfupi, nina kama cm 168.
Naitaji mke mwenye elimu na aliyeajiriwa serikalini au sekta binafsi, na mwenye elimu, mwenye umri kuanzia 25 na kuendelea. Uwe muhitaji.