Mwee...nyie mnataka ndoa kwa ajili ya matunzo🤣🤣🤣🤣🤣Hahahah tuvitu flani flani.
Yu kant explein
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwee...nyie mnataka ndoa kwa ajili ya matunzo🤣🤣🤣🤣🤣Hahahah tuvitu flani flani.
Yu kant explein
Kwa kweliiiMwee...nyie mnataka ndoa kwa ajili ya matunzo🤣🤣🤣🤣🤣
Bora wee umekubali ukweli wa mamboKwa kweliii
Kweli hamfahamu, ila ni mambo ya hela nadaiwaSawa jirani,, Ila sijui kama wanaume wanajua vikoba ni nini..
Sawa jirani....Kweli hamfahamu, ila ni mambo ya hela nadaiwa
Ndalama ndio nini chief?Labda ndalama zilikuwa zinapiga chenga bwana.
Money bossNdalama ndio nini chief?
AhaaMoney boss
Umekua mtu wa kuwapa kila la heri wahitaji katika mahitaji yao, mashallahMungu akupe haja ya moyo wako.
🤣 🤣 🤣 🤣 Ni kuwatakia tu heri maana hamna jinsi.Umekua mtu wa kuwapa kila la heri wahitaji katika mahitaji yao, mashallah
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mke au mume anapatikana popote,huwezi jua huko mtaani amewaona wangapi na hakuwaelewa ndio maana kaja huku jfHamna ndugu.
Kote hajaona mke kaja jf!!
Jf kama jf impe mke bora zaidi?
Jibu zuri sana hiliKuoa Ni maamuzi,ume andika pumba,kila mtu anaoa anapo amua kwa sahihi kwake