jackrenee
Member
- Mar 2, 2022
- 47
- 69
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Sema unatafuta Jimama la kukulea. Miaka 40 mileage za kutosha. Jiandae kupigwa makonzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Sema unatafuta Jimama la kukulea. Miaka 40 mileage za kutosha. Jiandae kupigwa makonzi
Kusema anayejitambua ni kufoka etiHapa tu unafoka, huko ndoani si utakata mtu mitama shemeji.
Kutojitambua chanzo cha mauaji,Ndoa kuwa ya mateso badala ya furaha.kujitambua chanzo cha kujua thamani na ya mwenzio neno kujitambua lina upana wake.Hapa tu unafoka, huko ndoani si utakata mtu mitama shemeji.
Hivi mwamposa anafungaga ndoa kanisani kwake kweli?Kuna thread mdau aliileta humu
"Alishauri ukitaka mke nenda kwa MWAMPOSA pale Kawe maana kuna wadada wengi tuu nao wanatafuta Wenza unaweza kupata huko.
Wapo sana humu ila omba mungu akupe mtu sahihi anayejitambuaHata mimi nataka mke pia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]We jamaa bhaanaTukaribie nini mkuu? Unataka tuonje wema wa mkeo?
Harusi yangu mkuu mwezi wa 10 nakukalibishaTukaribie nini mkuu? Unataka tuonje wema wa mkeo?
Hongera sana mkuu kwa kupata mke karibu chamani ila ishu za UWABATA achana nazoKama nilivyotoa tangazo la kutafuta mke anaye jitambua hatimaye namshukulu mungu nimempata mke huyo.chaguo la moyo mwenye kujitambua.Tunatarajia kufanga ndoa mwezi 10 mwaka huo 2023 ,karibuni sana
Asante sana mkuuHarusi yangu mkuu mwezi wa 10 nakukalibisha
Hakika umepata kwakuwa ametoka Kwa BWANA mimiKama nilivyotoa tangazo la kutafuta mke anaye jitambua hatimaye namshukulu mungu nimempata mke huyo.chaguo la moyo mwenye kujitambua.Tunatarajia kufanga ndoa mwezi 10 mwaka huo 2023 ,karibuni sana
Poa mkuu natamani nawe uwepo mungu akitupa uzimaAsante sana mkuu
ukishakaa naye miezi 24 naomba mrejesho..Kama nilivyotoa tangazo la kutafuta mke anaye jitambua hatimaye namshukulu mungu nimempata mke huyo.chaguo la moyo mwenye kujitambua.Tunatarajia kufanga ndoa mwezi 10 mwaka huo 2023 ,karibuni sana