Nahitaji mkopo wa 1M kwa dhamana ya kiwanja chenye thamani ya 5M

Pawaga

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2011
Posts
1,349
Reaction score
1,011
Ndugu habari ya majukumuuu?

Jaman mi niliamua kuanzisha mradi wangu wa kufuga wa kienyeji na sasa unaendelea vizur sana...

Nipo katika mpango wa kuuboresha zaidi wa kununua eneo pia na kujenga fensi ila tatizo ni pesa za kufanya hayo hivyo ninaomba anayejua mtu au taasisi yoyote inayotoa mikopo yenye masharti nafuu anisaidie,

Nipo Iringa na dhamana ni kiwanja chenye hati na thamani yake ni milioni 5 wakati mimi nahitaji mkopo wa milioni moja tu ntaulipa ndani ya miezi 6 kwa makubaliano na mkopeshaji
 
kuwa lakini usipoteze mali yenye thamani ya 5m kwa 1m mikopo hii imewaangamiza wengi kimaendeleo japo wanauchumi kadhaa wanadai kwamba mikopo haiepukiki kama kweli unataka kufanikiwa. ahsante
 
Kuwa tu makini
 
kuwa lakini usipoteze mali yenye thamani ya 5m kwa 1m mikopo hii imewaangamiza wengi kimaendeleo japo wanauchumi kadhaa wanadai kwamba mikopo haiepukiki kama kweli unataka kufanikiwa. ahsante
nina uhakika nturudisha na riba yake maana nataka kuboresha biashara ambayo tayari inafanya vizur
 
nina uhakika nturudisha na riba yake maana nataka kuboresha biashara ambayo tayari inafanya vizur
bora uvumilie tu mkuu riba ni dhambi na ukiweka kitu dhamana kwa mtu wengine sijui ni ulonzi hutoweza kurudisha hyo hela mpaka anachukua hcho kitu
 
Acha kuongea vitu vya kukaririshwa ka kusuku. Neno Dhambi ulilisikia kwenye mahubiri. Anyways, all the best, lost soul.
naona kama anatishia watu hapa sijawahi kusikia eti mkopo ni dhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…