Nahitaji mkopo wa 400,000/=

Pole sana mkuu, kwann usiuze tu hiyo pc ili kupunguza kero za kudaiwa?
 
Mbona sikuhizi hizi nyuzi za kuomba mikopo zinakuja kwa kasi hivii
 
Once you have money you can conclude yourself that am cool.

Ngoja system zizingue kwako ndio utajua kwanini nyuzi nyingi.
Mbona sikuhizi hizi nyuzi za kukopa zinakuja kwa kasi hivii
 
Siku hizi ukikopesha bila ya kibali cha BOT utashtakiwa uhujumu uchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…