Nahitaji mkopo wa laki 1

Nahitaji mkopo wa laki 1

Uza smart phone uliyonayo, Toa 100, 000/- Then Hela Itakayo Bakia Nunua Nokia Ya Tochi.
 
Mtaji ni wazo lako kichwani, ondoa mawazo ya laki moja ukopeshwe kwanza ili ufanye ulichokibuni. Tunategemea una umri chini ya 25, kama hivyo ndivyo kuna kazi kibao za kufanya kuipata hiyo laki moja kwa wiki. Kama una zaidi ya miaka 25 basi wewe ni tatizo tayari maana unachokiomba hakiendani na umri wako.

1. Unaweza kuuza maji ya madumu -
2. Unaweza kuuza mayai ya kuchemsha unatembeza
3. Unaweza kwenda kwenye viwanda vidogo vidogo vyya kufyatulia matofali - kazi kibao kuyapanga, kupakia n.k
4. Unaweza kwenda kwenye vijiwe vya kuoshea magari - kazi mbwerere pale nguvu zako tu
5. Unaweza kutafuta kijiwe cha chipsi, ukajishikiza ukaanza hata kumenya viazi na kusaidi kugawa sahani kwa wateja nk

Kazi ni nyingi mno za kupata hiyo laki moja ya kuanzishia mradi wako - jiongeze kijana fainali huwa uzeeni mdogo wangu.
Fanyia kazi ushaur huu
 
Mtaji ni wazo lako kichwani, ondoa mawazo ya laki moja ukopeshwe kwanza ili ufanye ulichokibuni. Tunategemea una umri chini ya 25, kama hivyo ndivyo kuna kazi kibao za kufanya kuipata hiyo laki moja kwa wiki. Kama una zaidi ya miaka 25 basi wewe ni tatizo tayari maana unachokiomba hakiendani na umri wako.

1. Unaweza kuuza maji ya madumu -
2. Unaweza kuuza mayai ya kuchemsha unatembeza
3. Unaweza kwenda kwenye viwanda vidogo vidogo vyya kufyatulia matofali - kazi kibao kuyapanga, kupakia n.k
4. Unaweza kwenda kwenye vijiwe vya kuoshea magari - kazi mbwerere pale nguvu zako tu
5. Unaweza kutafuta kijiwe cha chipsi, ukajishikiza ukaanza hata kumenya viazi na kusaidi kugawa sahani kwa wateja nk

Kazi ni nyingi mno za kupata hiyo laki moja ya kuanzishia mradi wako - jiongeze kijana fainali huwa uzeeni mdogo wangu.


Mkuu FUSO , heshima kwako ndugu.
Kwa mtu (kijana) mwenye mtaji wa Tsh laki 8 kamili, waweza mshauri afanye biashara gani kwa kipindi hiki? Preferably iwe biashara ya kukimbiza... yani ananunua na kwenda kuuza na kugeuka tena fasta. Ni kijana mpambanaji, yupo tayari kuingia mkoa wowote penye fursa ya biashara.
Ahsante.
 
Mtaji ni wazo lako kichwani, ondoa mawazo ya laki moja ukopeshwe kwanza ili ufanye ulichokibuni. Tunategemea una umri chini ya 25, kama hivyo ndivyo kuna kazi kibao za kufanya kuipata hiyo laki moja kwa wiki. Kama una zaidi ya miaka 25 basi wewe ni tatizo tayari maana unachokiomba hakiendani na umri wako.

1. Unaweza kuuza maji ya madumu -
2. Unaweza kuuza mayai ya kuchemsha unatembeza
3. Unaweza kwenda kwenye viwanda vidogo vidogo vyya kufyatulia matofali - kazi kibao kuyapanga, kupakia n.k
4. Unaweza kwenda kwenye vijiwe vya kuoshea magari - kazi mbwerere pale nguvu zako tu
5. Unaweza kutafuta kijiwe cha chipsi, ukajishikiza ukaanza hata kumenya viazi na kusaidi kugawa sahani kwa wateja nk

Kazi ni nyingi mno za kupata hiyo laki moja ya kuanzishia mradi wako - jiongeze kijana fainali huwa uzeeni mdogo wangu.


Hivi hiyo biashara ya kuuza maji, kwa Dar bado inatoka kwa maeneo yepi? Nataka nikomae nayo.

Nimeulizia maeneo ya Ubungo mpaka Kimara, wanasema saahivi hiyo fursa is no more. Dawasco weshatandaza bomba za kutosha.

-Kaveli-
 
Hivi hiyo biashara ya kuuza maji, kwa Dar bado inatoka kwa maeneo yepi? Nataka nikomae nayo.

Nimeulizia maeneo ya Ubungo mpaka Kimara, wanasema saahivi hiyo fursa is no more. Dawasco weshatandaza bomba za kutosha.

-Kaveli-
Nenda kigamboni watu wengi hakuna hata bomba moja la dawasco; nguvu yako tu kusukuma mkokoteni
 
Nenda kigamboni watu wengi hakuna hata bomba moja la dawasco; nguvu yako tu kusukuma mkokoteni


Information is Power. Noted with a bunch of thanks.

-Kaveli-
 
Mkuu dojonase , habari za Kigamboni.
Hebu naomba unipe baseline info kuhusu biashara ya maji huko Kigamboni. Hali ikoje huko upatikanaji wa maji? biashara ya kuuza maji inatoka?

-Kaveli-
Ur not serious.
 
Kwanini unahisi I am not serious ?

-Kaveli-
nimeshakupa hints kwamba biashara kule inalipa sababu hakuna bomba hata moja la dawasco kule; unaweza kupata hadi 50,000 kwa siku kwa kuuza hayo madumu kama una bidii - sasa wewe unataka details zipi zaidi ya hizi - kwa nini usiende na kufanya survey mwenyewe. maana sasa utanipa kazi tena ya kukupigia hesabu zaidi kwamba kukodi mkokoteni bei gani? je madumu nitapata wapi? je wateja wa kuanzia nitawapataje? je nikitumia punda wa kukodi kuvuta mkokoteni wanapatikana wapi? je kutumia punda au mimi mwenyewe kuvuta mkokoteni njia ipi ina faida kubwa nk

Yaani ni hivi ukiona mtu ni tajiri ujue kasota; kama si yeye basi baba yake.

sasa Nenda pale Tungi - utaona vijana na mikokoteni kibao toka saa 10 alfajiri hadi saa 2 usiku wanatafuta pesa!!
 
nimeshakupa hints kwamba biashara kule inalipa sababu hakuna bomba hata moja la dawasco kule; unaweza kupata hadi 50,000 kwa siku kwa kuuza hayo madumu kama una bidii - sasa wewe unataka details zipi zaidi ya hizi - kwa nini usiende na kufanya survey mwenyewe. maana sasa utanipa kazi tena ya kukupigia hesabu zaidi kwamba kukodi mkokoteni bei gani? je madumu nitapata wapi? je wateja wa kuanzia nitawapataje? je nikitumia punda wa kukodi kuvuta mkokoteni wanapatikana wapi? je kutumia punda au mimi mwenyewe kuvuta mkokoteni njia ipi ina faida kubwa nk

Yaani ni hivi ukiona mtu ni tajiri ujue kasota; kama si yeye basi baba yake.

sasa Nenda pale Tungi - utaona vijana na mikokoteni kibao toka saa 10 alfajiri hadi saa 2 usiku wanatafuta pesa!!


Kuulizia/kupata taarifa from secondary source siyo kosa wala dhambi.

Ofkoz ni lazima nikafanye survey mimi mwenyewe kwanza ili kuona hali halisi on the ground.

Nashukuru Mkuu for such useful hints, umesomeka vyema kabisa. Soonest naenda kulifanyia kazi.

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom