Totozuriiii
Senior Member
- Mar 15, 2018
- 130
- 66
Habari zenu Wakuu!
Natafuta mtu wa kunikopesha milion 3 kuna jambo nataka nifanye, na uhakika wa kumlipa ndan ya miez mi2 milion 3 na nusu.
Nitailipa kwa uaminifu mkubwa tu
Kiwanja kina hati ya serikali ya mitaa, kipo mkoa wa pwani, ukubwa ni 70*20 ,nitakapolipa unanirudishia hati yangu.
Nipo tayari kwa maandikishiano.
Nimejaribu kukiuza lakin hakuna aliyefikia bei hvyo nimesitisha kukiuza..
Yoyote atakayeguswa tafadhali nipm.
Nakaribisha ushauri pia.
Natafuta mtu wa kunikopesha milion 3 kuna jambo nataka nifanye, na uhakika wa kumlipa ndan ya miez mi2 milion 3 na nusu.
Nitailipa kwa uaminifu mkubwa tu
Kiwanja kina hati ya serikali ya mitaa, kipo mkoa wa pwani, ukubwa ni 70*20 ,nitakapolipa unanirudishia hati yangu.
Nipo tayari kwa maandikishiano.
Nimejaribu kukiuza lakin hakuna aliyefikia bei hvyo nimesitisha kukiuza..
Yoyote atakayeguswa tafadhali nipm.
Nakaribisha ushauri pia.