Nahitaji mkopo wa Milion 3 nalipa Milion 3.5 Ndani ya miezi miwili tu. Bond kiwanja

Totozuriiii

Senior Member
Joined
Mar 15, 2018
Posts
130
Reaction score
66
Habari zenu Wakuu!
Natafuta mtu wa kunikopesha milion 3 kuna jambo nataka nifanye, na uhakika wa kumlipa ndan ya miez mi2 milion 3 na nusu.
Nitailipa kwa uaminifu mkubwa tu

Kiwanja kina hati ya serikali ya mitaa, kipo mkoa wa pwani, ukubwa ni 70*20 ,nitakapolipa unanirudishia hati yangu.
Nipo tayari kwa maandikishiano.

Nimejaribu kukiuza lakin hakuna aliyefikia bei hvyo nimesitisha kukiuza..

Yoyote atakayeguswa tafadhali nipm.
Nakaribisha ushauri pia.
 
1. Nenda kakope Bank... utakuwa unalipa kidogo kidogo.

2. Jiunge na kikoba kinachoeleweka au Saccos
 
Ebu nipe utaratibu upoje? Kuna bank inatoa mkopo na kiwanja chenye hati ya serikali za mitaa
1. Nenda kakope Bank... utakuwa unalipa kidogo kidogo.

2. Jiunge na kikoba kinachoeleweka au Saccos
 
kakope benki mkuu watu watakuliza, mtu atakupa hiyo hela kwa masharti makali pindi utakaposhindwa rejesha imekula kwako au mwingine atakuloga ushindwe kurejesha kiwanja kiende, pi benki utalipia kidogokidogo
 
kakope benki mkuu watu watakuliza, mtu atakupa hiyo hela kwa masharti makali pindi utakaposhindwa rejesha imekula kwako au mwingine atakuloga ushindwe kurejesha kiwanja kiende, pi benki utalipia kidogokidogo
Asante kwa ushauri, bank wanahitaji hati miliki, kiwanja bado sijakipima kina hati ya serikali za mitaa
 
Nenda hospital kaongee na daktari waambie ndugu unaumwa figo inahitajika millions 15,ndugu watachanga faster utapata hiyo pesa haahaaa joking...

Pole kwa matatizo mkuu..
Tafuta madalali wakusaidie kukiuza pwke yako utachrlewa sana kupata mteja
Ukishindwa kuoata mteja wapo wakopeshaji wadogo wadogo sio lazima uende bank..
Je hicho kiwanja kina hadhi/thamani ya kuuzwa zaidi ya millions 5?
 
Milion 8 kwenda juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…