mkulima 111
Member
- Oct 22, 2012
- 26
- 6
Mwe mwe mwe!! Utampata usihofu, hata kama analima shamba takatifu usihofu, kikubwa ni kilimo!
Mwe mwe mwe!! Utampata usihofu, hata kama analima shamba takatifu usihofu, kikubwa ni kilimo!
kilimo kwanza hapa,vingine baadae!
Hivi wanalimaga cku hizi?
hahaa mahindi yapo! utachoma na utachemsha!mimi nimekupenda sana.....hasa ulivyotaja mambo ya kilimo nikakumbuka mahindi ya kuchoma......wallah nakupenda wewe......na niko serious.......napatikana Yaeda.......
kama ulikuwa hujuwi habari ndio hiyo sisi tunalima kileo sio kizamani! karibu ujionee!
Duh!
Kiukweli mi kulima siwezi labda kama ni kwenda kuwasimamia vibarua shambani
hahaa mahindi yapo! utachoma na utachemsha!
kama hujuwi kulima hata kusimamia hutaweza maana
huwezi kusimamia kitu ambacho hukijuwi!
hahaha wabongo mnapenda raha! jiko la gass lipo house gelPreta akishindwa kumeet vigezo tafadhali niko hapa. Najua kulima, kupiga haro, kupalilia na kuvuna kwa trekta tu. Kukaa bush haina shida ilimradi uniwekee jiko la gas na housigelo mmoja. Nina utaalamu wa kilimo kwa mbaali.
dah sijuwi kama utaweza magorofa na kilimo mh mh!Dah..! Unanifaa sana wewe Mkulima..! Siku nyingi sijalima mpaka mikono inawasha..! Ni PM nije huko Moro nilime maana huku Magorofani nashindwa kulima..!
dah sijuwi kama utaweza magorofa na kilimo mh mh!