nahitaji mkulima mwenzangu!( mke)

nahitaji mkulima mwenzangu!( mke)

kama ulikuwa hujuwi habari ndio hiyo sisi tunalima kileo sio kizamani! Karibu ujionee!
ulishaona wakulima wapo jf huku na mashamba wamemwachia nani hap ahamna mkulima mwenzio
 
Hahahaa... Nilikuwa nalima zile enzi za UJIMA.. Ila baada ya kukaa maghorofani ndio nimeacha..!

zile zimepita sasa tuuwakulima wasafi unapiga suti na unaenda shambani enzi zile mkulima lazima uwe mchafu! ndio maana ulishindwa!
 
zile zimepita sasa tuuwakulima wasafi unapiga suti na unaenda shambani enzi zile mkulima lazima uwe mchafu! ndio maana ulishindwa!

Hahahaaa... Sikushindwa ila ni mazingira tuu ndio yaliyonitenganisha na Kilimo..!
 
ulishaona wakulima wapo jf huku na mashamba wamemwachia nani hap ahamna mkulima mwenzio

wewe huo ndio upeo wako unazani enzi zile..? sasa natuma post yangu nikiwa shambani mwangu! amka juwa wakulima wa leo sio wa miaka 50 iliyo pita!
 
Styele mpya ya kutongoza mbona moro wakulima kibao huko matombo,mgeta
 
wewe huo ndio upeo wako unazani enzi zile..? sasa natuma post yangu nikiwa shambani mwangu! amka juwa wakulima wa leo sio wa miaka 50 iliyo pita!
mikono ya huku ni yakushika mause na touch screen jembe utalisikilia kwenye kipindi cha kilimo kwanza ,mimi simo ndugu mkulima
 
mikono ya huku ni yakushika mause na touch screen jembe utalisikilia kwenye kipindi cha kilimo kwanza ,mimi simo ndugu mkulima
hahaha ndugu yangu ukulima wa siku hisi ni mipango! sio kushika jembe bali ni kalam na touch screen pembeni!
 
Huyo huyo mmoja atatutosha baba. Si kuna washing machine na dishwasher? Hgelo anafanya usafi tu. Mwenetu namuogesha mwenyewe na kumtake care kabisa, si ndo kazi ya mama jamani. Ila niliogopa kukata kuni manake naogopa nyoka
hahaha wabongo mnapenda raha! jiko la gass lipo house gel
yupo ndie anae kaa na mtoto wangu! sasa nawe utataka wako?
 
Back
Top Bottom