Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Wape moyo kwakweli watanisamehe sinaga mzuka na me weupe yaani sishtuki hata kaduchu, me mweusi awe na jisauti zito hapo usaili utafanyikaahahahahaha muwe na amani nyie watamu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wape moyo kwakweli watanisamehe sinaga mzuka na me weupe yaani sishtuki hata kaduchu, me mweusi awe na jisauti zito hapo usaili utafanyikaahahahahaha muwe na amani nyie watamu tu
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Duuh yaani ufurahishe macho tu? Hapana labda ufurahishe na mwili [emoji1] [emoji1]
maji ya kunde je?Wape moyo kwakweli watanisamehe sinaga mzuka na me weupe yaani sishtuki hata kaduchu, me mweusi awe na jisauti zito hapo usaili utafanyika
HahahahUna nyota ya mkaa!!
Hehehenaomba uwaforwad kwangu
Wape moyo kwakweli watanisamehe sinaga mzuka na me weupe yaani sishtuki hata kaduchu, me mweusi awe na jisauti zito hapo usaili utafanyika
NOmaji ya kunde je?
Mapaja yanashake yenyewe, msalimie Shem Kumbe ni white duh, aniwie radhihahaahha !unamtukana had mume wangu wewe !kaangalie kwanza ! sasa hyo sauti shogangu uwe unaongeleshwa hapo jamaa yupo ndani shuuuuuuuuuuubaaaaaaaaaamit
aisee tunashukuru maana hali ingeweza kuwa mbaya hahahaha
Mapaja yanashake yenyewe, msalimie Shem Kumbe ni white duh, aniwie radhi
Una nyota ya mpingo!Yaaan kila anaenitongoza n mweis tu kwan m nina nyota gan
[emoji3] [emoji3]
hahahaha aisee basi ngoja tujipake oil chafu/lami tu
Tall, black sema hana besi nipendayo, ana body tata unataka kunigeuza naona hahahahahaaaahaahahahah wako blak? pls nipe namba yake pm niwe namshalimia mara moja moja !sina sumu mie!teh teh teh just kiddng
ni kweli kabisa. moyo wa ajabu sana sometime huenda tofauti.hapana !mie nachojua mapenzi ni kujitune tu ! mie zaman nilikua sipokei hata salamu ya mtu mweupe !imagine nilikua km chiz nadhan hahahah! lakini ndo nimekuja olewa na mwarabu wa shy
ni kweli kabisa. moyo wa ajabu sana sometime huenda tofauti.
ni sawa na hawa vijana wanaodai wanataka chura tu ndo mwisho wa siku wanakuja penda wenye ubao wa kupigia pasi!