Nahitaji mpenzi lakini awe ngozi nyeupe

Nyie madem mnaotaftaga wazungu ,ni kwamba weng wanakua wameumizwa sasa hua wanadhan akipata mzungu ndo atamkomoa aliyemtenda,kwamba okay,nimempata zaid yako,hahaha,kuna x wangu m1 tuliachana ,baada ya ka mwez hiv et kapiga pic na mzungu whatsapp af akantext tuchat tuu ili nione,nkamuliza ndo shemej akasema ndio,hahahah,cha ajab baada ya wik kadhaa anajileta leta tena ooh nilifanya vle upate wiv,..hahah,nkasema shut the fuc*K up,..move on sasa
 
[emoji122] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji23]
 
Nenda ulaya, utafuta mwanaume mweupe Africa utakuwa na utindio wa ubongo
 
Kupenda Mteremko Wa Maisha Sio Kitu Kizuri Kabisa .
...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji106][emoji109]

[emoji87][emoji87][emoji87]
Mmh! BAK umeanza kuwa kama mdogo wangu Mwifwa sasa mana sio kwa emoj hizo.

Haya uwe na weekend njema.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…