Nahitaji mpenzi lakini awe ngozi nyeupe

Nahitaji mpenzi lakini awe ngozi nyeupe

Mimi mzungu ila ni mzaliwa wa Nanyamba huko Mtwara vijijini.vipi ninayo nafasi?
 
Habari zenu wanajukwaa.
Kwanza nashukuru sana kwa kuntia moyo ktk Uzi wangu uliopita.
Pili, nikwamba bado cjakata tamaa naitaji mpenzi lakini awe ngozi nyeupe(mzungu) Tafadhali Dada zangu kina miss chagga, miss natafuta, jjes na wengine wote naombeni maujuzi nifanyeje mdogo wenu
Note: sitampa tena mwanaume ela
ey gal what do u mean? can u put your thread in English?
 
Back
Top Bottom