Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,167
Mm natafuta mtu wakumfundisha uchawi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Habari wanajamvi nawasalimu kwa jina la Muungano
Mimi ni mwanamke wa miaka 27,
Sina mtoto
ninaishi Dar es Salaam.
Nahitaji mwanaume serious kwa ajili ya familia.
Miaka awe na 30 na kuendelea mwisho 40.
Awe christian.
Ili wajue matumizi sahihi ya pedi?Zama zinabadilika ndio maana hata wababa siku hizi wanafundishwa kuhusu hedhi.
Siku hizi hakuna mwanamke mwenye tabia njema walishakufa wote miaka ya 90Kwa hiyo wewe tabia huangalii??
Mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]Nipigie 0654373298.
Najaribu Bahati Mkuu.Mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]
EwaaaIli wajue matumizi sahihi ya pedi?
Hawa wenza wa kutafutwa kwenye mitandao! Mmmh!!! Maisha yamebadilika sana. Sisi vijana wa kale tunastaajabu sana na haya mabadiliko ya kutafuta wenza kwenye mitandao.
Hawa wenza wa kutafutwa kwenye mitandao! Mmmh!!! Maisha yamebadilika sana. Sisi vijana wa kale tunastaajabu sana na haya mabadiliko ya kutafuta wenza kwenye mitandao.
TAWIRENatabiri huyu atapata mume haraka sana
Zama Zimebadilika sisi tuliomo humu Mitandaoni ndio hao hao tupo huku Kwenye Nyumba za Ibada, Masokoni na Pengine pote Mitaani.Hawa wenza wa kutafutwa kwenye mitandao! Mmmh!!! Maisha yamebadilika sana. Sisi vijana wa kale tunastaajabu sana na haya mabadiliko ya kutafuta wenza kwenye mitandao.
Hahaha umemfata kakujib mkuuUyu tumfate tu huko maana hataki kuja..
Hahahah ashindwe yy tuMm Niko mbeya nna miaka 30 kamili ila niliwahi kuoa ndoa ikaota mbawa kwa maana nilitalakiana na mke,mna watoto wa3 kama uko tayar karibu pm but sitegemei kuish dsm maaan nipo huku kikaz na huku ndio nyumbani kwetu! Mawifi na wakwe watabisha hod kila siku!! Mm n mnyakyusa
Yaaan unamfuata pm akujibuMnasumbuaga humu mkitafutwa mnaringa sijui mnatoaga ofa kama hizi kwa nn!? Na wew uwe siriaz saaasa
Dah....hapo kwenue serious...Sifa zimenitupa nje tena....Basi kazi iendelee [emoji2960]Habari wanajamvi nawasalimu kwa jina la Muungano
Mimi ni mwanamke wa miaka 27,
Sina mtoto
ninaishi Dar es Salaam.
Nahitaji mwanaume serious kwa ajili ya familia.
Miaka awe na 30 na kuendelea mwisho 40.
Awe christian.