Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eeehh eeehh.. Daa nawapendaga lakn nawaiswasi ni pm nitafikiriaAm a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue mapenzi na awe handsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mume wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.
Umri wangu ni miaka 55.
Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.
Acha uongo!MtalimaK
Huyu mdada alikuwa anatafuta mtu miaka mingi na tulishamzika mwaka juzi makaburi ya segerea.
Utamuunguza mtt mdogo hemu tafuta mzee mwenzako mle maishaKwani nataka nimzalie mtoto?
Me nina watoto wakubwa.
Wa kwanza yuko nje ameoa na ana familia yake.
He's 33yrs,na wengineo.
NmekuPM Nina miaka 22 nimezaliwa 1996 naona nimetimiza vigezo na humu watu kama sisi tuko wachach wengi ni 29 kwenda juuNataka mwisho 26 tu.
Mkuu, ebu tueleze vizuri kuhusu huyu Tinnah, maana minajua alikuaga mwalimu wa shule moja ya msingi huko Darisalama.MtalimaK
Huyu mdada alikuwa anatafuta mtu miaka mingi na tulishamzika mwaka juzi makaburi ya segerea.
Hahahahahaaa heeeeee kumbe ni marehemuMkuu, ebu tueleze vizuri kuhusu huyu Tinnah, maana minajua alikuaga mwalimu wa shule moja ya msingi huko Darisalama.
Binafsi sina uhakika, zaidi ya kusoma mmoja wa wadau akitanabaisha hivyoHahahahahaaa heeeeee kumbe ni marehemu
umeshapata?Am a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue mapenzi na awe handsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mume wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.
Umri wangu ni miaka 55.
Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.
Una mfahamu ??Jamani Msimzushie Am Katrina Yupo Hajafa Na Chura Yake Ipo Bado
Nmeku PM bbyAm a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue mapenzi na awe handsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mume wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.
Umri wangu ni miaka 55.
Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.