ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
Kwani nataka nimzalie mtoto?
Me nina watoto wakubwa.
Wa kwanza yuko nje ameoa na ana familia yake.
He's 33yrs,na wengineo.
wa kwako ana 33, unataka wa mmama mwenzio mwenye 22-26yrs, wewe si muuaji wewe? chukua mwano aku.....ili muendeleze ukoo. huna heshima mwanamke mzima. shame on you