Nahitaji mpenzi

Nahitaji mpenzi

NIFEDIPINE

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
215
Reaction score
224
Hello habari zenu. NAMI nichukue fursa hii kutafuta mpenzi. Mimi ni mwanaume mwenye miaka 35,mwajiriwa serikalini, nimeoa mke yupo mkoani.
Nahitaji mpenzi Ambaye:
1. Ana umri kuanzia 22 mpaka 33
2. Awe ana kazi inayomuingizia kipato/asiwe tegemezi.
3. Awe tayari kupima afya/HIV/Pregnancy test.
4. Awe mkazi wa Dar es salaam maana NAMI naishi Dar.
5. Awe mkristo walau mwenye kuhudhuria ibada na hofu ya Mungu.
6. Asiwe mfupi tafadhali,asiwe mnywa pombe au kilevi Cha namna yoyote.

LENGO.
1. Kupeana mapenzi motomoto na ya kudumu, bila kuathiri mahusiano mengine kama yapo.
2. Mwenye utayari aje PM tuyajenge.
 
Hello habari zenu. NAMI nichukue fursa hii kutafuta mpenzi. Mimi ni mwanaume mwenye miaka 35,mwajiriwa serikalini,nimeoa mke yupo mkoani.
Nahitaji mpenzi Ambaye:
1. Ana umri kuanzia 22 mpaka 33
2. Awe ana kazi inayomuingizia kipato/asiwe tegemezi.
3. Awe tayari kupima afya/HIV/Pregnancy test.
4. Awe mkazi wa Dar es salaam maana NAMI naishi Dar.
5. Awe mkristo walau mwenye kuhudhuria ibada na hofu ya Mungu.
6. Asiwe mfupi tafadhali,asiwe mnywa pombe au kilevi Cha namna yoyote.
LENGO.
1.Kupeana mapenzi motomoto na ya kudumu, bila kuathiri mahusiano mengine kama yapo.
2. Mwenye utayari aje PM tuyajenge.
Huo ukristo na hiyo hofu ya mungu yupi?.
 
WE KWELI MTU MZIMA OVYO TENA UNASEMA UMEOA DEMU ATAKAYEKUKUBALI NAYE ANA AKILI
Tatizo la kukosea herufu. Umeacha H ikabadili maana. Ulitaka kusema hana akili lakini ukaandika ana akili. Statement yako inaonesha kuwa demu atakayemkubali basi yupo njema kiakili. Ingawa ulitaka kusema atakayemkubali HANA akili. Vijana jifunze matumizi ya H ni muhimu katika kuandika
 
Hello habari zenu. NAMI nichukue fursa hii kutafuta mpenzi. Mimi ni mwanaume mwenye miaka 35,mwajiriwa serikalini,nimeoa mke yupo mkoani.
Nahitaji mpenzi Ambaye:
1. Ana umri kuanzia 22 mpaka 33
2. Awe ana kazi inayomuingizia kipato/asiwe tegemezi.
3. Awe tayari kupima afya/HIV/Pregnancy test.
4. Awe mkazi wa Dar es salaam maana NAMI naishi Dar.
5. Awe mkristo walau mwenye kuhudhuria ibada na hofu ya Mungu.
6. Asiwe mfupi tafadhali,asiwe mnywa pombe au kilevi Cha namna yoyote.
LENGO.
1.Kupeana mapenzi motomoto na ya kudumu, bila kuathiri mahusiano mengine kama yapo.
2. Mwenye utayari aje PM tuyajenge.
Nipe namba za mkeo mkuu
 
Back
Top Bottom