Nahitaji mpenzi

Nahitaji mpenzi

Baada ya yote hayo then asiwe tegemezi awe anchanzo Cha kipato mwanamke gani mwenye sifa hizo akakubali ujinga ulioandika ulichofeli kujua mwanamke atayekubali unachotaka Anasifa zake ambazo unabidi uzi ghalamie.
 
We mwenyewe hofu ya mungu huna alafu unatafuta mwenye hofu ya mungu sijui ulilewa wakati unaandika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787]
 
Mnamsema jamaa kwasababu amekuwa mkweli, wakat wanaume weng wanafanya haya...

Angekuwa Muislam Angeoa mke wa pili.

Kwasababu Ni mkristo ameamua kutafuta kiburudisho, Tena mdada mdogo kabisa. Kigoli [emoji122][emoji122][emoji122].

Big up Sana Kaka. Nivema utafuta mke mdogo mmona atulize haja zako kuliko kutembea na Malaya au kubadilisha wanawake.

Najua mke mkoani huko anafanya kazi na anatunza familia pia. Ni ngumu Kuja mjini kila wiki .
 
Hofu ya Mungu afu unataka mchepuko bro you are not serious
 
We mwenyewe hofu ya mungu huna alafu unatafuta mwenye hofu ya mungu sijui ulilewa wakati unaandika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hahahahahah yaani mkuu mimi siwaelewi hawa watu
 
Back
Top Bottom