Nahitaji msaada na ushauri wa afya yangu

Nahitaji msaada na ushauri wa afya yangu

Nilipoona nazidi kupungua kila siku nikahisi labda ni HIV nikaenda kupima nikakuta sina, hapo nikatulia baada ya miezi kadhaa nikaona hakuna mabadiliko nikaenda kupima tena, nimeshapima kama mara nne
Sasa inategemea
Kama unajihisi huenda uli participate ngono isiyo salama kwa muda mfupi
Angalia mara ya mwisho. Ilikuwa lini na je imeisha miezi 3 baada ya ngono isiyo salama?
 
kama hujaoa oa mkuu, upate ulivu wa nafsi... na uache husda na fihi, au roho ya kwanini?
 
Mimi ni kijana wa 29, Nimekuwa nikipata wakati mgumu kuhusu afya yangu, afya niliyokuwa nayo kipindi cha nyuma sasa naona kila siku inazidi kupungua, na nimesha kwenda vituo vya afya kupima afya (H. I. V) na niko salama, kinachonishangaza ni kwamba kila siku nazidi kupungu tu, na chakula nakula bila shida sina mawazo makubwa inayoweza kunipelekea kukonda kiasi hiki sijawahi kuumwa hata homa za hapa na pale siumwagi, lakini nikiangalia mwili wangu sio kabisa na hata watu wangu wa karibu wananiambia vipi mbona unazidi kuisha tu. Mpaka sasa sijui nifanyaje,
Naombeni kwa wale wataalamu wa afya waniambie ni ugonjwa gani inaweza kumfanya mtu akonde tu bila hata kuumwa mafua,

Na mnipe ushauri labda nikapime vipimo gani au magonjwa gani.
Asante sana
Unaweza ukakondeshwa na vingi, labda hali ya uchumi,mapenz,familia au huna furaha ila kikubwa bro, nenda kawaone wataalam wa afya natumaini watakusaidia...pole sana utapona.
 
Sasa inategemea
Kama unajihisi huenda uli participate ngono isiyo salama kwa muda mfupi
Angalia mara ya mwisho. Ilikuwa lini na je imeisha miezi 3 baada ya ngono isiyo salama?
ukinmwi haukondesh mtu ndan ya miez mitatu toka maambukiz mkuu
 
Mimi ni kijana wa 29, Nimekuwa nikipata wakati mgumu kuhusu afya yangu, afya niliyokuwa nayo kipindi cha nyuma sasa naona kila siku inazidi kupungua, na nimesha kwenda vituo vya afya kupima afya (H. I. V) na niko salama, kinachonishangaza ni kwamba kila siku nazidi kupungu tu, na chakula nakula bila shida sina mawazo makubwa inayoweza kunipelekea kukonda kiasi hiki sijawahi kuumwa hata homa za hapa na pale siumwagi, lakini nikiangalia mwili wangu sio kabisa na hata watu wangu wa karibu wananiambia vipi mbona unazidi kuisha tu. Mpaka sasa sijui nifanyaje,
Naombeni kwa wale wataalamu wa afya waniambie ni ugonjwa gani inaweza kumfanya mtu akonde tu bila hata kuumwa mafua,

Na mnipe ushauri labda nikapime vipimo gani au magonjwa gani.
Asante sana
Mahusiano yako na mke au girlfriend wako yakoje?maana saa nyingine wanaume tunabanwa na wapendwa wetu,unakwisha lakini huoni kisa unafaidi kitu fulani,unasahau uhalisia kuwa kuna unapobanwa...
 
Sasa inategemea
Kama unajihisi huenda uli participate ngono isiyo salama kwa muda mfupi
Angalia mara ya mwisho. Ilikuwa lini na je imeisha miezi 3 baada ya ngono isiyo salama?
Ndio miezi 3 imeisha na baada ya hapo nikapima nikakuta sina kitu mkuu
 
Mahusiano yako na mke au girlfriend wako yakoje?maana saa nyingine wanaume tunabanwa na wapendwa wetu,unakwisha lakini huoni kisa unafaidi kitu fulani,unasahau uhalisia kuwa kuna unapobanwa...
Bado sijaoa mkuu, mapenzi hayanisumbui hata
 
Back
Top Bottom