Nahitaji msaada. Nadhani nina tatizo, hii si hali ya kawaida

Napenda sana sauti ya mkojo wa mwanamke. Akiwa anakojoa hivi najisikia raha sana kusikiliza. Hadi huwa narecord nakaa tu kusikiliza huo mlio.
 
Hizo ni shida za kisaikolojia tu mkuu,waone wataalamu watakusaidia,kama unataka kuacha japo sioni kama zina effect yoyote.
Kwa kweli sijaona effect mademu wengine hunifurahia na kunikumbuka kwa huu upuuzi wangu. Utakuta tu mtu anasema nimemiss kukojoa mbele yako
 
Khaaaa....🙊 nikidhani nishaona na kusikia yote hadi yakaisha, kumbe bado....😃
 
Uliwahi kuchunga ng'ombe enzi hizo? Inaonekana tabia ya kushika mkojo ulianzia kwa ng'ombe uliokuwa unawachunga.
 
Ww unaendelea kua chizi
 
hizo 'sex fantasy' zako zitaisha siku ukipata demu kitengo cha 'emergency' tanesco maana wale muda wote wamevaa 'overalls'.
 
Kwa kweli sijaona effect mademu wengine hunifurahia na kunikumbuka kwa huu upuuzi wangu. Utakuta tu mtu anasema nimemiss kukojoa mbele yako
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Utakuwa ulianza utotoni kuchungulia dada zako,wakikojoa,anyway kuna wengine mikojo yao inawasha kichizi wochi out
 
Ni fantasy yako na sidhani kama kuna ubaya , sana sana ke unaofanya nao hivo watakusumbua sana na kukutaka mara kwa mara ili tu wajihisi kiburudika pale unapowataka wakojoe huku ukiwashikashika huo mkojo wao
 
Duh!, kwani ile hatua ya utoto ulimalizana nayo au uliiruka ndo unairudia?
 
Mkuu, una siku ngapi toka urudi Milembe Psychiatric Hospital, na je ulishamaliza dose au ulitoroka tu?
 
Uliwahi kuchunga ng'ombe enzi hizo? Inaonekana tabia ya kushika mkojo ulianzia kwa ng'ombe uliokuwa unawachunga.
Kwa wewe sivizuri nikuite ng'ombe. Au unaona ni sawa wewe kujiita hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…