Nahitaji msaada wa kuondoa uchawi na majini

Your belief is number one, if any one hury you too try to be near with your Godness.

Waganga wa kienyeji wapo na wanaponya kwa sababu hayo majini huwa wanakutupia kichawi.

Ikiwa na imani sana na dini lako pia Mwamini sana Mwenyezi Mungu hudhuria sana ibada ipo siku Mwenyezi Mungu atasikia kilio chako. But wachungaji wengi wanaangalia sana pesa na waganga wengi wa kienyeji huwa wanaangalia sana pesa.


Kama kweli unataka upone kwa dawa za asiri nenda vijijini sio waganga wa mijini watakupotezea muda wako na pesa juu.

Mama yangu mzazi aliwahi tupiwa jini na aliteseka sana but Alhamdullillah kwa sasa anaendelea vizuri.

Imani ni moja ya siraha tosha kwako.

Over[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mimi niliyofanyiwa mengine madharau ya kabisa, usiku mwingine silali hata kidogo. nishawai pigwa umeme ubongoni mara tatu, naskia kama nafariki
pia nimetishwa na kufanywa wazimu, yaani nilikua natizama tv, nikaanza kuskia ni kama wanaropokwa sielewi chochote, sijawai shtuka nilivyoshtuka siku hiyo

haya yote na mengine maovu yamenifanya kuamua kulipiza kisasi. hivi ni vyema nikimpata mtu hodari katika haya. lakini cha muhimu kupona
 
Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza
 
I can advise you to do this ..if you are very serious..

Kwanza kabisa uchawi Una entry point..
Anaweza kuwa rafiki au ndugu au Mke au mume..au anyone ambae ana access na wewe..

Sasa kama uko serious hebu Hama hapo unapokaa ..utafute sehemu ambayo very few watakakuwa wanapajua..

Kama ni mtu umehama Mae hapa utagundua
Kuwa uko nae since hutaona mabadiliko...

But ukianza ona tofauti Tu ya nafuu jua tayari umeanza kupona..

Kingine kuwa makini na unachokula..
Unakuta mtu oficin kaleta maandazi yake kutoka nyumbani we unavamia kula..
Usile kabisa ovyo ovyo..

Tatu unapolala hakikisha kuna mwanga wa kutosha..usilale kwenye giza zito..
Taa za nje kuzunguka nyumba Acha ziwake
 
Nenda pale Ufunuo na Uzima, ubungo chai bora.
 
Jibu nisimple sana. wewe binafsi ndo umuombe mungu wako akusaidie usitumie watu wakat(wachungaji), omba sana kma tatzo lisipoisha basi mungu atakupa ujasir wa kukubaliana namatokea yoyote kutoka kwa hilo tatzo.
 
Andika Kiswahili basi ueleweke!

Kama ni Kiingereza andika hicho Kiingereza tujue umeandika Kiingereza!

Maana naona unanitia kichefuchefu tu na mchanganyo wa viswahili na viingereza!
 
nilisha hakikishasio mojawapo ya hayo yote

nishajua ninani ila cha kutatanisha hatujawahi kua na physical contact naye. yeye kayatuma mapepo tu

fafanueni hilo la kitimoto
 
Yaani shetani amtoe shetani mwenzie?! Uliona wapi?kitakachofanyika wataangalia aliyekufanyia hayo ana nguvu ipi,then unapewa majini yenye nguvu zaidi ili kuyanyamazisha yaliyopo!
Trust me! Utashangaa tatizo baada ya muda fulani linarudi!

Only Jesus can save you!

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Pastor àlishindwa?
Its either ni pastor jina tu ,or ni pastor lkn amezidiwa nguvu na upande huo!
Yes! Hata kwny nuru huku kwa Mungu kuna deep,deeper na deepest!

Upande wa nuru kuna rank tofauti tofauti unapoongelea suala la nguvu same as upande wa giza!(sababu zipo nyingi)

Kuna falme,wenye mamlaka,wakuu wa giza,jeshi la pepo wabaya! Hizo ni rank (efeso 6:10...)
4 ranks! Sio mchezo lz use na mahusiano mazuri na Mungu na umaanishe wale wanaodanganya

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Pole,hali kama hiob ilimtokeaga mtu wa karbu yangu ndo nikaja amini haya mambo yapo, mana alkua anasikia/anawasikia wanavyoongea na kila anachotaka kufanya lazima wakizungumzie, cha kufanya..usje enda kwa mganga wa kienyeji..huko ndo utapotea njia vzur sana..huyo jamaa wangu alienda kwa mganga..kidogo afe..na nazan aljikuta kaenda kwa mganga weak kuliko hao jamaa. Hata alpoenda kwa waganga wengne aliwaskia mara 100 zaidi na hakuweza kulala for consecutive 7 days..tukaenda hospital achomwe sindano ya kulala..akawa analala kwa saa moja tu maxmum..anaamka na hio sindano inakua haimsaidii..,tuliachana na hawa wachungaj inactive ..tukaenda kwa mchungaj anayejua kuombea vzur..ilchukua saa moja tu hiv..kaombewa,katolewa mapepo na tangia siku hio hajawasikia tena..so my brother..tafuta mchungaj sahihi..usiende kwa bora mchungaj tu. Lastly usiende kwa mganga...huko ni hao jamaa wanakulengesha ili uingie kwenye timing vzur..uspende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…