Nahitaji msaada wa kuondoa uchawi na majini

Nahitaji msaada wa kuondoa uchawi na majini

Mimi kabla sijatoa mchango naomba nitafsiriwe kwanza.
 
Mpigie
Wadau, if you didn't believe uchawi is real, I've been a victim.

What I've seen, and has been done to me by malicious assholes would anger any sane person.

The good thing is that I got to realize who actually intended to hurt and destroy me. The problem ni how to replicate kitu nilifanyiwa. I'm really looking forward to avenge stuff kama kufanyiwa mikono paralyzation, going sleepless for consecutive nights, untold thirst, physical pain, weird dreams, and other terrible shit, without a reason.

I've tried seeking for some traditional specialist, cuz nikama kuna majini hunifuata everywhere I go, incessantly talking to me (even as I type this, they are going nuts - it got to a point where I figured they rely on how you think, so that they can "talk"). I've heard that they remove those jinis from someone, if that's actually what was done to me. Or if it's that they are around me but not in me.

My purpose is for your help if anyone has ever heard an actual real traditional healer who deals with such stuff. I also wouldn't mind a mganga who would help me obtain vengeance. These people tried to literally kill me, so I'm hurting for teaching them a lesson, given that they want to destroy me without any reason.

I was even stupid enough before to think that my lack of belief in witchcraft would stop it from happening to me. No pastor has succeeded so far, I even stopped believing in God. Fraudulent traditional healers failed too. So this is like a last shot at this, trying to find one, or some help.

If you do give a hoot about justice, help a brother out.
Pole sana. Nipigie nikupe maelezo zaidi ya kupata msaada wa kuondolewa matatizo yako 0655 775518
 
...Comrade Fereke, si ungeyaweka hayo wazi hapa ili wanaJF wenye Shida zao wafaidike? Ama wrote had I waje PM??
Weka mambo hadharani kaka tufaidike wengi, wasiokuwa na shida nayo watapita tu kaka....!
Ni kweli ndugu..ni vema kueleza humu ili kila mtu anufaike..natamani kufanya hivyo..nitaanda maelekezo maalum.Ingawa mie ni mgumu sana kuzungumzia mambo ya kiimani hadharani isipokuwa in private kwa mtu mwenye uhitaji hasa na hana alternative..maana imani kila mtu hu tafsiri kwa namna yake mwenyewe...ningeongea nae kwanza kwa muda mfupi tuu angetambua kumbe hivyo vinavyomsumbua ni vitakataka tuu havina nguvu kuzidi uamuzi rahisi tuu ambao angefanya..shetani ni mzushi..mwongo..mshenzi..mdanganyaji..anayependa kutisha na kutisha na kutisha mpaka uamini ana nguvu kubwa kumbe hamna kitu..ujanja wake ni mdogo sana.
Nimewahi mface huyo mkuu wao thats why siogopi hata chembe hivyo vitakataka vyake anavyovituma...
 
Hilo jini lako linapenda sana Kiinglishi.

Pole Mzee, ila hebu Jitahidi upate usingizi, ule vizur na utoe mawazo ya hayo majini, uone kama bado yapo.

Maana pengine ni jinsi ww unavyowaza na ndio unavyojisikia
 
Ni rahisi sana..ukipata mtu sahihi akajuelimisha nini cha kufanya na kukurudishia confident uliyokuwa umepoteza..hivyo vitakataka utavishinda asubuhi...nimepitia makubwa sana ya kutisha..sijawahi na sitawahi kwenda sijui mchungaji nabii......ninasali mwenyewe ..na nimewashauri wengi namna na aina ya sala dhidi ya hayo ...walifanikiwa kuanzia day one...shetani si lolote ukitambua utajua hana uwezo wowote zaidi ya kutisha..na kusumbua Watu...big up.
Tushirikishe.
 
Kama majini na wachawi ndo sawa na hawa wa kwenye bongo movie basi usiogope hua hawako serious kwenye mambo yao. Watakuchezea tu mwisho watasepa wenyewe
 
wazungu ngoja wakusaidie mimi sielewi ulichoandika na sisi ambao hatujui kiingereza ndo tunamsaada wako.
Wadau, if you didn't believe uchawi is real, I've been a victim.

What I've seen, and has been done to me by malicious assholes would anger any sane person.

The good thing is that I got to realize who actually intended to hurt and destroy me. The problem ni how to replicate kitu nilifanyiwa. I'm really looking forward to avenge stuff kama kufanyiwa mikono paralyzation, going sleepless for consecutive nights, untold thirst, physical pain, weird dreams, and other terrible shit, without a reason.

I've tried seeking for some traditional specialist, cuz nikama kuna majini hunifuata everywhere I go, incessantly talking to me (even as I type this, they are going nuts - it got to a point where I figured they rely on how you think, so that they can "talk"). I've heard that they remove those jinis from someone, if that's actually what was done to me. Or if it's that they are around me but not in me.

My purpose is for your help if anyone has ever heard an actual real traditional healer who deals with such stuff. I also wouldn't mind a mganga who would help me obtain vengeance. These people tried to literally kill me, so I'm hurting for teaching them a lesson, given that they want to destroy me without any reason.

I was even stupid enough before to think that my lack of belief in witchcraft would stop it from happening to me. No pastor has succeeded so far, I even stopped believing in God. Fraudulent traditional healers failed too. So this is like a last shot at this, trying to find one, or some help.

If you do give a hoot about justice, help a brother out.
 
Raha ya Mambo ya uchawi uchawi tutumie kiswahili,maana Gamboshi hiyo lugha uliyotumia hawaijui
 
Wachawi wanaknloga wakati English iko tele kichwani?
Nalog off
Hahahaha wachawi wanaangalia lugha mkuu? 😂 😂
No matter what you're, if you're targeted obviously you will be hit.
Jamaa achukue hatua tu vinginevyo Hawa wachawi wanarudisha sana nyuma watu kimaendeleo mpaka kimaradhi.
 
N
kama huna imani kanisani jaribu kwa
dawa.

Nenda njombe kwa *Mwandulami* huyo mzee kasaidia wengi kwa tiba asili.
Njombe sehemu gani? Au ukifika pale mjini ukimuulizia tu anajulikana?
 
Kwa hiyo Uliambiwa hao wachawi na Majini hawajui kingereza! Nina uhakika huu uzi wako wameshausoma jiandae...
majini hawajui chochote

niljaribu kuongea lugha isiyoijua, na vikaanza kuniiga, kazi yao kuiga. vinafyonza all your memories/knowledge na kutumia hivo kukusumbua. pia vinaongea tu vitu ninavyovijua, ni kama mwanafunzi asiyejua lolote shuleni kazi yake kuibia mawazo ya wengine. Hivo ndivo yao hufanya, au kulazimishwa cha kufanya na aliyevituma. pia kucopy bila kupenda, so nilitambua ni very simple invisible beings. kwa mfano niliwahi pigana na mtu fulani akaniumiza jicho. baada ya kupona jicho, vilikua vinarudia nilivokua nahisi katika macho yote, huku vikiclaim ni hivo vinafanya uchungu huo.

baada ya mimi kugundua yanategemea ubongo wa binadamu kupayuka, inakua rahisi kuvikanganya, ila shida ni kuviondoa tu. siku hizi, ikiewemo leo ni kutumwa viibe usingizi

anavosema Edward Teller kumhusu rafikiye ni kweli. wachungaji nashangaa kuwahusu sasa, kwani wakati walishindwa ilikua kama mockery yakisema sina hata mungu, hivi nishaanza kushuku kama vilikua vishahofia. other than that, madharau ninayoendelea kufanyiwa lazima nilipize kisasi, waganga wa hapa kenya walaghai ingawa wale wa kweli wengi kuliko matapeli huku kwenu.
 
Shetani ana kutisha tena una weza jinyonga. Mimi nilikua nahisi mikono ina tembea mwilini alafu ina bonyeza sehemu ya moyo basi moyo unaenda mbio sana na nahisi hofu ila nika jaribu ku ignore, swala ni kukosa usingizi tu ndo shida

kaka pia umetumiwa mapepo. huwa yanakuongelesha?
 
Dawa ni kujifukiza na madawa ya asili atoke mwilini kisha watachoma dawa ya kumtoa mjengoni.
Ukitaka njia ya kanisani pia ni sawa ila itachukua muda mrefu sana na itategemea aina ya jini ana nguvu gani. Kuna pastor alitoka nduki baada ya maombi hajarudi tena.
ok, cha kwanza nilichotambua ni vinategemea fear vitakataka hivi. na kama umetumiwa pia zitasoma fikira za walio around you, na vimfanyie ujanja ili kumtisha. pengine huyo pastor alikuwa naturally mwoga. vikijua hivi vinajipa nguvu sana, so nguvu yao ni kama hutokana na woga wako. wakati nilifanyiwa paralyzation mpaka ninaamka, vilikua vinapiga kelele ili nishtuliwe na both paralyzation na hizo kelele zao. kuna kitu specific nilkuwa ninaambiwa nifanye ili "niwachanwe" lakini nikakata na wala sikubabaishwa na kuteswa huko.

cha kushangaza ni kuwa viumbe hawa ni waoga sana. niliwahi kutembea usiku nikakutana na askari vilijaribu kunifanya nishtuke lakini nikajua huo haukua mshtuko wa kawaida kutokea rohoni mwangu.

lazima kuna kitu huyo mchungaji alifanyiwa au akaambiwa na mapepo aliyokuwa anatajaribu kukemea. vikikuongelesha for the first time, utashangaa vile vina sauti za uume/courage. ila ukizitambua vizuri, waweza hata kuzifanya zilie

problem kubwa imekua ni kufuata command ya aliyezituma. hiyo ni lazima zishinde zimefanya. ni kama zinakuanga very easy kushawishi
 
Back
Top Bottom