Nahitaji msaada wa kuondoa uchawi na majini

Nahitaji msaada wa kuondoa uchawi na majini

Mkuu hii dunia ina watu wabaya haswaa, unaweza kupigwa juju na hata kutolewa kafara na ndugu, wazazi na wale unaofikiri ni watu wako wa karibu sana....mimi nilishaamua kumtegemea Mungu, ije mvua lije jua....
 
Wadau, if you didn't believe uchawi is real, I've been a victim.

What I've seen, and has been done to me by malicious assholes would anger any sane person.

The good thing is that I got to realize who actually intended to hurt and destroy me. The problem ni how to replicate kitu nilifanyiwa. I'm really looking forward to avenge stuff kama kufanyiwa mikono paralyzation, going sleepless for consecutive nights, untold thirst, physical pain, weird dreams, and other terrible shit, without a reason.

I've tried seeking for some traditional specialist, cuz nikama kuna majini hunifuata everywhere I go, incessantly talking to me (even as I type this, they are going nuts - it got to a point where I figured they rely on how you think, so that they can "talk"). I've heard that they remove those jinis from someone, if that's actually what was done to me. Or if it's that they are around me but not in me.

My purpose is for your help if anyone has ever heard an actual real traditional healer who deals with such stuff. I also wouldn't mind a mganga who would help me obtain vengeance. These people tried to literally kill me, so I'm hurting for teaching them a lesson, given that they want to destroy me without any reason.

I was even stupid enough before to think that my lack of belief in witchcraft would stop it from happening to me. No pastor has succeeded so far, I even stopped believing in God. Fraudulent traditional healers failed too. So this is like a last shot at this, trying to find one, or some help.

If you do give a hoot about justice, help a brother out.
Mkuu Beluwa Samahani sana lakini kwa lugha unayomwaga humu, wewe unaonyesha ni mtu muelewa usiyestahili kuamini mambo hizi kwa Umerogwa.
Ninaamini kwamba kuna a scientific solution kwa kila jambo ulilosema hapa.
Pambana na mrudie Mungu wako.
Huku unapotaka kwenda kutafuta majibu is simply not good.
 
nasikia ka huna changamoto ya kula kitmotoo, we kila siku kaanga/choma/chemsha na mifupa eka kila konaa ...ni mwiba kwa majiji...
kwa wachawi we fuga mmbwaaa havipatanii

ukizidiwa tembelea wazee wa upakoo .... viwanja vya Tanganyika ---Kawe --DSM
 
Haya mambo nayaongelea kwa experience situation kama yake na mimi ilinikuta mwaka jana ........kwenda kwa wachungaji haisaidii kama wewe mwenyewe ndani Imani imekufa......hata mimi tulizunguka huko kwa wachungaji karibia wote walishindwa na hio ni kutokana na mimi mwenyewe sikua mtu wa imani kabisa.........kabla ya hilo tukio hata kwenda kanisani ilikua kwa shida........baadae nikapata muamko kutoka ndani yangu mwenyewe na wala sio kwenda kwa wachungaji.......mimi ni mkatoliki nikaanza rozali kila siku na novena baadhi ya siku na nilikua nasali kutoka moyoni kabisa nikiamini....baada ya muda mambo yakaanza kukaa sawa na pia inabidi uweze ku control mawazo yako sana usifikirie mavitu negative kwa sana mda mwingi jaribu kujiweka katika hali ya kua positive maana kama alivyosema namna unavyowaza ndo hayo majini pia unaweza ukayaongezea nguvu ama kuyapunguza......mimi nilitupiwa majini mwaka jana kwa ugomvi tu wa kwenye biashara na mpaka nikawa sawa sikumjua mganga yeyote
Ni rahisi sana..ukipata mtu sahihi akajuelimisha nini cha kufanya na kukurudishia confident uliyokuwa umepoteza..hivyo vitakataka utavishinda asubuhi...nimepitia makubwa sana ya kutisha..sijawahi na sitawahi kwenda sijui mchungaji nabii......ninasali mwenyewe ..na nimewashauri wengi namna na aina ya sala dhidi ya hayo ...walifanikiwa kuanzia day one...shetani si lolote ukitambua utajua hana uwezo wowote zaidi ya kutisha..na kusumbua Watu...big up.
 
nilisha hakikishasio mojawapo ya hayo yote

nishajua ninani ila cha kutatanisha hatujawahi kua na physical contact naye. yeye kayatuma mapepo tu

fafanueni hilo la kitimoto
Nakuomba ndugu kama upo serious njoo pm..nataka tupeane mawasiliano niongee na wewe..nikuelekeze cha kufanya mwenyewe..
Nimepitia magumu na kuwashauri waliopo kwenye magumu zaidi ya hayo.
Uganga ni kupoteza muda...wachungaji sijui nini...mmmh utahangaika sana...sijui imani yako ila nitakayokuelekeza na mimi nitaanza aina ya hizo sala mara tuu ukielewa..usipoteze fedha hata mia...Huruma ya Mungu ni buree daima.
 
Waganga hawatokusaidia chochote zaidi ya kukupandikiza na ma spirits ya ajabu amabayo yatakuja kukusumbua badae,,, tafuta makanisa ya maombezi ikiwezekana nenda kwenye madhabau ya inuka na uangaze kawe kwa mtume Dr mwamposa utakua sawa
 
Haya mambo nayaongelea kwa experience situation kama yake na mimi ilinikuta mwaka jana ........kwenda kwa wachungaji haisaidii kama wewe mwenyewe ndani Imani imekufa......hata mimi tulizunguka huko kwa wachungaji karibia wote walishindwa na hio ni kutokana na mimi mwenyewe sikua mtu wa imani kabisa.........kabla ya hilo tukio hata kwenda kanisani ilikua kwa shida........baadae nikapata muamko kutoka ndani yangu mwenyewe na wala sio kwenda kwa wachungaji.......mimi ni mkatoliki nikaanza rozali kila siku na novena baadhi ya siku na nilikua nasali kutoka moyoni kabisa nikiamini....baada ya muda mambo yakaanza kukaa sawa na pia inabidi uweze ku control mawazo yako sana usifikirie mavitu negative kwa sana mda mwingi jaribu kujiweka katika hali ya kua positive maana kama alivyosema namna unavyowaza ndo hayo majini pia unaweza ukayaongezea nguvu ama kuyapunguza......mimi nilitupiwa majini mwaka jana kwa ugomvi tu wa kwenye biashara na mpaka nikawa sawa sikumjua mganga yeyote
Nina pitia kipindi kigumu kama chako, tena kwa mwanamke nilie mtolea mahari.
 
Ni rahisi sana..ukipata mtu sahihi akajuelimisha nini cha kufanya na kukurudishia confident uliyokuwa umepoteza..hivyo vitakataka utavishinda asubuhi...nimepitia makubwa sana ya kutisha..sijawahi na sitawahi kwenda sijui mchungaji nabii......ninasali mwenyewe ..na nimewashauri wengi namna na aina ya sala dhidi ya hayo ...walifanikiwa kuanzia day one...shetani si lolote ukitambua utajua hana uwezo wowote zaidi ya kutisha..na kusumbua Watu...big up.
Shetani ana kutisha tena una weza jinyonga. Mimi nilikua nahisi mikono ina tembea mwilini alafu ina bonyeza sehemu ya moyo basi moyo unaenda mbio sana na nahisi hofu ila nika jaribu ku ignore, swala ni kukosa usingizi tu ndo shida
 
Dawa ni kujifukiza na madawa ya asili atoke mwilini kisha watachoma dawa ya kumtoa mjengoni.
Ukitaka njia ya kanisani pia ni sawa ila itachukua muda mrefu sana na itategemea aina ya jini ana nguvu gani. Kuna pastor alitoka nduki baada ya maombi hajarudi tena.
Yaani shetani amtoe shetani mwenzie?! Uliona wapi?kitakachofanyika wataangalia aliyekufanyia hayo ana nguvu ipi,then unapewa majini yenye nguvu zaidi ili kuyanyamazisha yaliyopo!
Trust me! Utashangaa tatizo baada ya muda fulani linarudi!

Only Jesus can save you!

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Nakuomba ndugu kama upo serious njoo pm..nataka tupeane mawasiliano niongee na wewe..nikuelekeze cha kufanya mwenyewe..
Nimepitia magumu na kuwashauri waliopo kwenye magumu zaidi ya hayo.
Uganga ni kupoteza muda...wachungaji sijui nini...mmmh utahangaika sana...sijui imani yako ila nitakayokuelekeza na mimi nitaanza aina ya hizo sala mara tuu ukielewa..usipoteze fedha hata mia...Huruma ya Mungu ni buree daima.
...Comrade Fereke, si ungeyaweka hayo wazi hapa ili wanaJF wenye Shida zao wafaidike? Ama wrote had I waje PM??
Weka mambo hadharani kaka tufaidike wengi, wasiokuwa na shida nayo watapita tu kaka....!
 
Ndugu pole. Najua ni kwa kiasi gani uko frustrated. Ila tatizo lako ni kuwa UNAAMINI KATIKA WACHUNGAJI BADALA YA MUNGU. Hapo ndipo lilipo tatizo. Unatakiwa uamini katika Mungu kupitia mwanawe Yesu Kristo.

Majini yanasoma akili zetu na kila kitu tunachowaza, (provided yako around you) na ndo maana yameshakusoma na kugundua kuwa unapunguliwa imani. Yanapitia hapo hapo.
Sasa hapo ulipo unafikiri Mchungaji anaweza kuondoa majini. Jibu ni big no. Wachujgaji ni njia ya kukusaidia katika kumwomba Mungu kupitia Yesu kristo.

Halafu haya majini yaweza kuwa yanakutwist akili hata ukitaka kuamua kwamba upate msaada wa kiroho ambao ndio njia sahihi, utashangaa unaanza kupuuza kwenda either kanisani, au wewe mwenyewe kuendelea tu kuamini kuwa huwezi kupona kupitia Jina la Yesu.

Believe in Jesus brother, hata kama utapata ugumu gani pale utakaposhinda internal persuasion ndo utaanza kuuona mwanga.

Jina la Yesu ni kubwa sana kiasi kwamba hata jini haliwezi kulitamka, they can easily pronounce the name of God (for their father was created by God in the beginning ) but not Jesus. Believe in him and get an appropriate pastor who can lead you to victory.
Get rid of that hatedness of yours and stop thinking about revenge, God will avenge you. That's his work and not yours.
Sioni hilo kama ni possible. Kwa mungu kulifeli.

Pia yayo hayo majini yalitoa kejeli kuwa sina mungu during that period. hii i suspected ilikua ni order ya aliyezituma kwani nilingamua majini husoma akili zako zote hata memories, including vitu hungewai kumbuka. ni kama alijua nimeegemea kwa Mungu akaziambia vitu vya kusema.

Kuhusu majini kukutolea kejeli kwamba huna Mungu wala isikutishe. Ukweli ni kwamba kweli huna Mungu ndani yako ndo maana yamekaa kwako. Majini hayawezi kukaa kwa mtu ambaye anamwamini Mungu na kufanya yale yanayompendeza Mungu kupitia Yesu kristo. Never ever. Hapo yalikwambia ukweli kabisa, sema ukweli unauma ndo maana ukaona kwa Mungu hutapata msaada na sasa unataka kwenda huko huko kwenye nguvu za giza ili uendelee kuwa agent wa shetani. Hivi unafikiri huko unakotaka kupata msaada hizo nguvu wanatoa wapi? They all report to lucifer. UNaweza kudhani unaenda huko kupona kumbe yakaona umefall kwenye trap yao yakatulia in some way yakakuacha umtumikie lucifer kwa njia nyingine tofauti.



Pastor walishindwa

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom