Nahitaji msaada wa kuondoa uchawi na majini

Nahitaji msaada wa kuondoa uchawi na majini

Mkuu Beluwa Samahani sana lakini kwa lugha unayomwaga humu, wewe unaonyesha ni mtu muelewa usiyestahili kuamini mambo hizi kwa Umerogwa.
Ninaamini kwamba kuna a scientific solution kwa kila jambo ulilosema hapa.
Pambana na mrudie Mungu wako.
Huku unapotaka kwenda kutafuta majibu is simply not good.
sidhani hilo, hospitalini hawakuweza kungamua kiini cha mikono yangu kuparalyze

pia inauma nikiwa huko, walijaribu kuninyonga kwa kuuvimbisha ulimi nikashindwa kupumua daktari anakaa hapo kaduwaa
 
JESUS IS ONLY, ONLY THE HEALER WHO CAN HELP YOU.


come to Jesus with all your heart, give Him a chance to work on you, then the problem will end soon. You will be covered by the Blood of Jesus.


JESUS IS LORD!
 
Usilolijua ni kwamba hakuna mganga wa jadi anaejua kingereza, kama yupo basi ni tapeli.
 
majini hawajui chochote

niljaribu kuongea lugha isiyoijua, na vikaanza kuniiga, kazi yao kuiga. vinafyonza all your memories/knowledge na kutumia hivo kukusumbua. pia vinaongea tu vitu ninavyovijua, ni kama mwanafunzi asiyejua lolote shuleni kazi yake kuibia mawazo ya wengine. Hivo ndivo yao hufanya, au kulazimishwa cha kufanya na aliyevituma. pia kucopy bila kupenda, so nilitambua ni very simple invisible beings. kwa mfano niliwahi pigana na mtu fulani akaniumiza jicho. baada ya kupona jicho, vilikua vinarudia nilivokua nahisi katika macho yote, huku vikiclaim ni hivo vinafanya uchungu huo.

baada ya mimi kugundua yanategemea ubongo wa binadamu kupayuka, inakua rahisi kuvikanganya, ila shida ni kuviondoa tu. siku hizi, ikiewemo leo ni kutumwa viibe usingizi

anavosema Edward Teller kumhusu rafikiye ni kweli. wachungaji nashangaa kuwahusu sasa, kwani wakati walishindwa ilikua kama mockery yakisema sina hata mungu, hivi nishaanza kushuku kama vilikua vishahofia. other than that, madharau ninayoendelea kufanyiwa lazima nilipize kisasi, waganga wa hapa kenya walaghai ingawa wale wa kweli wengi kuliko matapeli huku kwenu.
Sorry! We ni Mtanzania?
 
Pole sana mkuu

Binafsi najua haya mambo yapo yamewai tokea kwa ndugu yangu yalimsumbua sana

Sijajua uko wapi lakin kuna M bibi mmoja Rombo kule wanapaita kwa kesemsii kwa habari za kusikia ni yuko vizuri kwa stuff kama yako. Naimani kuna wadau huku watakua wanapafahamu vizuri watakuelekeza location kama utakua tayari

Nafikiri ukifika kwake anaweza kukusaidia.
 
Wadau, if you didn't believe uchawi is real, I've been a victim.

What I've seen, and has been done to me by malicious assholes would anger any sane person.

The good thing is that I got to realize who actually intended to hurt and destroy me. The problem ni how to replicate kitu nilifanyiwa. I'm really looking forward to avenge stuff kama kufanyiwa mikono paralyzation, going sleepless for consecutive nights, untold thirst, physical pain, weird dreams, and other terrible shit, without a reason.

I've tried seeking for some traditional specialist, cuz nikama kuna majini hunifuata everywhere I go, incessantly talking to me (even as I type this, they are going nuts - it got to a point where I figured they rely on how you think, so that they can "talk"). I've heard that they remove those jinis from someone, if that's actually what was done to me. Or if it's that they are around me but not in me.

My purpose is for your help if anyone has ever heard an actual real traditional healer who deals with such stuff. I also wouldn't mind a mganga who would help me obtain vengeance. These people tried to literally kill me, so I'm hurting for teaching them a lesson, given that they want to destroy me without any reason.

I was even stupid enough before to think that my lack of belief in witchcraft would stop it from happening to me. No pastor has succeeded so far, I even stopped believing in God. Fraudulent traditional healers failed too. So this is like a last shot at this, trying to find one, or some help.

If you do give a hoot about justice, help a brother out.

Ushauri wangu ...
Kama upo Dar nenda pale msikiti wa Tungi/temeke na umuulizie mtu mmoja anaitwa DARWESH/MUBA .ofisi yake ipo maeneo hayo hayo..
Kwa Hilo tatizo lako biidhillah litatatulika na wataomba kuondoka wenyewe.

Note: usidharau nenda mkuu ...utakuja kunishukuru na ujipange kigharama pia...
 
Sioni hilo kama ni possible. Kwa mungu kulifeli.

Pia yayo hayo majini yalitoa kejeli kuwa sina mungu during that period. hii i suspected ilikua ni order ya aliyezituma kwani nilingamua majini husoma akili zako zote hata memories, including vitu hungewai kumbuka. ni kama alijua nimeegemea kwa Mungu akaziambia vitu vya kusema.

Pastor walishindwa
You're seal unasema kwa Mungu umefeli? Mungu yupi huyo au wakushona ihope humjui Mungu tafuta kumjua Mungu wa kweli anaeitwa NIKO AMBAE NIKO utajua habari zake unaenda kwa miungu ya kuchonga what do you expect pole
 
Una mkopo bank ? Una mkopo saccos ? Au tala au tigo nivushe ?


Kama unayo nenda kalipe haraka.
 
hapa watakuja walokole na wafia dini na kukuhubiria utadhani mapadre wenye shahada za theolojia

mimi nimetoa thread ya kutafuta utajiri wa ndagu, ila kuna mtaalam wangu mwingine yeye haja deal na utajiri bali ana deal na hilo eneo vizuri la kutoa uchawi na majini vizuri kabisa ..

nitakutumia namba yake inbox. pole sana.
 
hapa watakuja walokole na wafia dini na kukuhubiria utadhani mapadre wenye shahada za theolojia

mimi nimetoa thread ya kutafuta utajiri wa ndagu, ila kuna mtaalam wangu mwingine yeye haja deal na utajiri bali ana deal na hilo eneo vizuri la kutoa uchawi na majini vizuri kabisa ..

nitakutumia namba yake inbox. pole sana.
We jamaa ni wakala wa Lucifer,Unatumika kusambaza imani potofu katika jamii ukijiona shujaa kumbe debe tupu.
 
Ushauri wangu ...
Kama upo Dar nenda pale msikiti wa Tungi/temeke na umuulizie mtu mmoja anaitwa DARWESH/MUBA .ofisi yake ipo maeneo hayo hayo..
Kwa Hilo tatizo lako biidhillah litatatulika na wataomba kuondoka wenyewe.

Note: usidharau nenda mkuu ...utakuja kunishukuru na ujipange kigharama pia...
mie niko kenya

gharama ingekua ipi kama mimi ni mwenyeji wa pale ili nijui nauli itakua vipi
 
We jamaa ni wakala wa Lucifer,Unatumika kusambaza imani potofu katika jamii ukijiona shujaa kumbe debe tupu.
niko tempted kusema jinsi nimeyasoma mapepo haya, unaweza kuyatumia kwa namna hio anayoisema, kwani nishawai tumiwa nia ya kutaka kufanya kitu kwa tamaa kubwa sana, ilhali ni kitu sikupendelea. ukipenda an unnatural will. ilibidi nikeme kwa kukataa, majini yakakimya na nia ikaisha

ikabidi nione kama wanaoyafuga majini kwenye biashara huwapa wateja hii tamaa ya kuspend dukani/biasharani kwake (kwa means ya majini) ili wamnunulie, in short, chochote binadamu hufanya ama huhisi, majini yanaeeza kucopy, hivo wenye kuyafuga wametumia Mambo hayo ya kuforce watu bila hiari yao au wao kujua ili wajinufaishe
 
Back
Top Bottom