Nahitaji msaada wa kuongeza confidence na kujiamini

Nahitaji msaada wa kuongeza confidence na kujiamini

lee jack

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2017
Posts
1,062
Reaction score
1,871
Habari zenu Wana jukwaa kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naomba mnisaidie tips pamoja na vitabu nitakavyokua nasoma kuongeza confidence yangu pamoja na kujiamini
Natanguliza shukrani na nipo hapa kusoma Kila comment na ushauri mtakaonipa
 
Tafuna pilipili mbuzi 10 Bila maji wala juice nakuhakikishia confidence utayaoipata hapo utanishukuru daima
Habari zenu Wana jukwaa kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naomba mnisaidie tips pamoja na vitabu nitakavyokua nasoma kuongeza confidence yangu pamoja na kujiamini
Natanguliza shukrani na nipo hapa kusoma Kila comment na ushauri mtakaonip
 
Habari zenu Wana jukwaa kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naomba mnisaidie tips pamoja na vitabu nitakavyokua nasoma kuongeza confidence yangu pamoja na kujiamini
Natanguliza shukrani na nipo hapa kusoma Kila comment na ushauri mtakaonipa
Confidence ya kwanza Ni PESA yaan confidence itakuja automatically...

Unaweza kuanza kutumia vilevi kidogo kidogo kuondoa nishai mfano ukipiga zako alcohol 40%vol ukinywa 100ml unapata confidence kimtindo then jikomaze mdogo mdogo utakaa sawa.....

Unaweza uka smoke weed kidogo kuweka kichwa SAWA Mara moja moja confidence itazaliwa moyoni mwako..
 
Back
Top Bottom