Nahitaji msaada wa kuongeza confidence na kujiamini

Nahitaji msaada wa kuongeza confidence na kujiamini

Habari zenu Wana jukwaa kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naomba mnisaidie tips pamoja na vitabu nitakavyokua nasoma kuongeza confidence yangu pamoja na kujiamini
Natanguliza shukrani na nipo hapa kusoma Kila comment na ushauri mtakaonipa
Soma hiki kitabu maybe kinaweza kukusaidia.
 

Attachments

  • IMG-20240808-WA0069.jpg
    IMG-20240808-WA0069.jpg
    76.1 KB · Views: 7
Nahitaji kujiamini Mimi kama Mimi na sio kumtegemea mtu mwingine
Wewe unahangaika na kujiamini kwanini labda??

Unataka kuingia/upo kwenye siasa??
Upo kwenye mazingira ya usimamizi wa watu?,Upo kwenye mazingira ya kuhitaji kuwasilisha mada fulani kwenye hadhira/wakuu wako kazini?

Au unataka kujiamini tu kwenye kuchangamana na wenzako??Kama haihusiani na kujiamini kunakokuhitaji kwenye utafutaji wa pesa,relax.Mwanamke haina haja ya kujiamini sana.
 
Habari zenu Wana jukwaa kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naomba mnisaidie tips pamoja na vitabu nitakavyokua nasoma kuongeza confidence yangu pamoja na kujiamini
Natanguliza shukrani na nipo hapa kusoma Kila comment na ushauri mtakaonipa
Kama weww ni mkristo anza kufundisha watoto wa Sunday school. Ni njia iliyonisaidia mimi sana.
Nilikuwa naona rahisi kusimama mbele ya watoto kuongea lakini sio mbele ya watu wazima. Baada ya muda wa ku interact na watoto utashangaa automatically inakuwa rahisi hata kusimama na kuongea na umati wa watu wazima . Sasa hv confidence kama zote
 
Ikatae hiyo hali ya hofu ndani mwako jijengee imani ww mwenyewe kuwa unaweza na unajua. Sijui nisemaje jazia na nyamanyama za wengine
 
Habari zenu Wana jukwaa kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naomba mnisaidie tips pamoja na vitabu nitakavyokua nasoma kuongeza confidence yangu pamoja na kujiamini
Natanguliza shukrani na nipo hapa kusoma Kila comment na ushauri mtakaonipa
Hujiamini kivipi? Katika maeneo/mazingira gani? Nyoosha kwanza maelezo.
 
Kama weww ni mkristo anza kufundisha watoto wa Sunday school. Ni njia iliyonisaidia mimi sana.
Nilikuwa naona rahisi kusimama mbele ya watoto kuongea lakini sio mbele ya watu wazima. Baada ya muda wa ku interact na watoto utashangaa automatically inakuwa rahisi hata kusimama na kuongea na umati wa watu wazima . Sasa hv confidence kama zote
Shule za kata nilizofundisha zimenipa sana confidence alikuwa anakuja mzazi mtu mzima kabisa umri wa mzazi wangu lakini salamu ilikuwa mzazi habari yako karibu....naanza kumpa chai za hapa na pale za maendeleo ya mwanae anaelewa anapoza na ya soda na dogo litaanza kusoma tuitution mzazi alikuwa akija kwangu anapangwa mpaka ananipa kichwa cha tuition.
 
Habari zenu Wana jukwaa kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naomba mnisaidie tips pamoja na vitabu nitakavyokua nasoma kuongeza confidence yangu pamoja na kujiamini
Natanguliza shukrani na nipo hapa kusoma Kila comment na ushauri mtakaonipa
Kwanza tambua hakuna mtu anajali kuhusu wewe, sasa wewe kwanini uwajali wao kuhusu wewe. Ukifika umri fulani utathibitisha hili.

Wekeza muda wako kikamilifu kufanya vitu unavyovipenda.

Epuka kampani ya watu wasiojali thamani yako, ni bora ukawa karibu na mbwa kuliko watu kama hao.

Usipende kuhesabu madhaifu yako badala yake anza kuhesabu baraka ulizo nazo haijalishi ukubwa wake.

Usijilinganishe na mtu, kila mmoja ni unique kwa namna yake.

Jiongeze thamani kwa kuongeza maarifa na ujuzi.

Usioneshe kutegemea mtu, jione kwamba wewe ndio unategemewa.

Chochote utachofanya, fanya kama mfalme lakini asiye na majivuno bali mnyenyekevu.

Point kubwa iliyobeba zote: Ishi sasa, usiishi kwa kuangalia mapungufu yako ya jana wala usiwe na hofu na kesho. Ukiweza hapa basi umemaliza kila kitu.
 
Kwanza tambua hakuna mtu anajali kuhusu wewe, sasa wewe kwanini uwajali wao kuhusu wewe. Ukifika umri fulani utathibitisha hili.

Wekeza muda wako kikamilifu kufanya vitu unavyovipenda.

Epuka kampani ya watu wasiojali thamani yako, ni bora ukawa karibu na mbwa kuliko watu kama hao.

Usipende kuhesabu madhaifu yako badala yake anza kuhesabu baraka ulizo nazo haijalishi ukubwa wake.

Usijilinganishe na mtu, kila mmoja ni unique kwa namna yake.

Jiongeze thamani kwa kuongeza maarifa na ujuzi.

Usioneshe kutegemea mtu, jione kwamba wewe ndio unategemewa.

Chochote utachofanya, fanya kama mfalme lakini asiye na majivuno bali mnyenyekevu.

Point kubwa iliyobeba zote: Ishi sasa, usiishi kwa kuangalia mapungufu yako ya jana wala usiwe na hofu na kesho. Ukiweza hapa basi umemaliza kila kitu.
Blessed sana.
 
Back
Top Bottom