Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 944
- 1,682
Hahahaa kwani wewe ulishawahi kuhutubia angalau kwenye nyumba ya ibada au kwenye sherehe?Sasa afisa gani hajiamini huyo abaki hivohivo tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa kwani wewe ulishawahi kuhutubia angalau kwenye nyumba ya ibada au kwenye sherehe?Sasa afisa gani hajiamini huyo abaki hivohivo tuu
Embu weka tarehe yako ya kuzaliiwa, mwezi na mwaka uliozaliwaKuhutubia mbele za watu
Mimi kila siku huwa nahutubia church kwahiyo ni kawaida sanaaaHahahaa kwani wewe ulishawahi kuhutubia angalau kwenye nyumba ya ibada au kwenye sherehe?
Uko vizuri basi mpe binti maujanjaMimi kila siku huwa nahutubia church kwahiyo ni kawaida sanaaa
Kama unaanza kutafakari kitu unachokiongea kwamba watu wanakuchuliajeee unapoongea na unaogopa kukosea hutawezaUko vizuri basi mpe binti maujanja
Ni Kweli kabisa. Kwanza unatakiwa ujue hadhira yako ni aina gani ya watu/level ya ufahamu wao. Hotuba iandane na mifano ya maisha yao halisi. Ushauri wako wa kujilipua tuu siungi mkono unaweza kujipiga risasi sokoni ukatoa bokoKama unaanza kutafakari kitu unachokiongea kwamba watu wanakuchuliajeee unapoongea na unaogopa kukosea hutaweza
Kinachotakiwa ni kujilipua tu na kutoangalia macho ya watu kwa kuangalia juu ya macho yao
Wewe ni Me au Ke?Yes Nina ogopa hata kama ninajua kitu sina ile confidence ya kujielezea nifanyaje nijiamin
Watu wengi huwa wanadhani ninajiamini sana lakini huwa hawajui ndani yangu huwa najionaje yaani mm confidence huwa inakuja ninapothubutu(kujilipua) bila kufikiri sanaaaaaNi Kweli kabisa. Kwanza unatakiwa ujue hadhira yako ni aina gani ya watu/level ya ufahamu wao. Hotuba iandane na mifano ya maisha yao halisi. Ushauri wako wa kujilipua tuu siungi mkono unaweza kujipiga risasi sokoni ukatoa boko
Wakike huyo mkuuWewe ni Me au Ke?
Kama wa kike hiyo ni kawaida sana hiyo.Wakike huyo mkuu
Wewe ni Me au Ke?
Aaache kutafuta confidence ya nini sasa kwa mwanamkeKama wa kike hiyo ni kawaida sana hiyo.
Nilikuwa mwogamwoga kama wewe. Nilichokifanya;Habari zenu Wana jukwaa kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naomba mnisaidie tips pamoja na vitabu nitakavyokua nasoma kuongeza confidence yangu pamoja na kujiamini
Natanguliza shukrani na nipo hapa kusoma Kila comment na ushauri mtakaonipa