Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazo baya halina maanaPractices
Kila ukiona watu omba nafasi wakusikilize
Kuna Mganga ana dawa ya kuongeza nguvu za kiume.Habari zenu Wana jukwaa kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naomba mnisaidie tips pamoja na vitabu nitakavyokua nasoma kuongeza confidence yangu pamoja na kujiamini
Natanguliza shukrani na nipo hapa kusoma Kila comment na ushauri mtakaonipa
Kumbe wewe ni mwanamke.Mimi ke
Kweli ataonekana kama kiherehere na rafiki zake watamchokaWazo baya halina maana
Angalia zile inspiration na motivation videos za tiktok utajikuta unaongeza kujiamini kwa mfano kuna jamaa anaitwa denzel washingtonHabari zenu Wana jukwaa kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naomba mnisaidie tips pamoja na vitabu nitakavyokua nasoma kuongeza confidence yangu pamoja na kujiamini
Natanguliza shukrani na nipo hapa kusoma Kila comment na ushauri mtakaonipa
Aaah kama ke baki hivohivo tu hupaswi kujiaminiMimi ke
Mimi nilikuwaga sina confidence ila kilichonisaidia ni zile motivation videos za tiktok basiConfidence ya kwanza Ni PESA yaan confidence itakuja automatically...
Unaweza kuanza kutumia vilevi kidogo kidogo kuondoa nishai mfano ukipiga zako alcohol 40%vol ukinywa 100ml unapata confidence kimtindo then jikomaze mdogo mdogo utakaa sawa.....
Unaweza uka smoke weed kidogo kuweka kichwa SAWA Mara moja moja confidence itazaliwa moyoni mwako..
Money, 🤑 , power, respect 😁 🙏Mimi nilikuwaga sina confidence ila kilichonisaidia ni zile motivation videos za tiktok basi
Weed haipo kwa ajili ya watu wasiojiamini, wasiojitambuaConfidence ya kwanza Ni PESA yaan confidence itakuja automatically...
Unaweza kuanza kutumia vilevi kidogo kidogo kuondoa nishai mfano ukipiga zako alcohol 40%vol ukinywa 100ml unapata confidence kimtindo then jikomaze mdogo mdogo utakaa sawa.....
Unaweza uka smoke weed kidogo kuweka kichwa SAWA Mara moja moja confidence itazaliwa moyoni mwako..
Unataka confidence ya kuhutubia umati wa watu au kuongea na wateja wawili watatu?Umri 28 elimu degree naishi Arusha
Kwani wewe ni mwanasiasa auKuhutubia mbele za watu
Anaweza akawa ni Afisa wa SerikaliKwani wewe ni mwanasiasa au
Sasa afisa gani hajiamini huyo abaki hivohivo tuuAnaweza akawa ni Afisa wa Serikali
Hapo suluhisho ni THC tuHabari zenu Wana jukwaa kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naomba mnisaidie tips pamoja na vitabu nitakavyokua nasoma kuongeza confidence yangu pamoja na kujiamini
Natanguliza shukrani na nipo hapa kusoma Kila comment na ushauri mtakaonipa
Sasa afisa gani hajiamini huyo abaki hivohivo tuuAnaweza akawa ni Afisa wa Serikali