Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Practices
Kila ukiona watu omba nafasi wakusikilize
Mkuu,Una umri gani,elimu gani na Unaishi maeneo gani?
Pole mwaya.Arusha
Kama ni Ke angaika na mambo mengine.....Mimi ke
Achana na mambo ya confidence pambania yaliokuwa muhimu kwako tuTatizo nikiona watu naogopa hata kuongea mdomo unakuja mzito na point za kuongea zinapotea kichwani nakua mtupu
Kama ni Ke angaika na mambo mengine.....
Sanasana upate mwanaume anaejiamini kama mimi utakuwa umemal
Achana na mambo ya confidence pambania yaliokuwa muhimu kwako
Usjali wew dili na kioo tu utakuwa umemalizaYaani sijiamini nitapambanaje Mimi ndugu yangu
Kabla sijakushauri cha kufanya ili uwe confident, ningependa kujua reaction yako ukitongozwa face to face,Habari zenu Wana jukwaa kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naomba mnisaidie tips pamoja na vitabu nitakavyokua nasoma kuongeza confidence yangu pamoja na kujiamini
Natanguliza shukrani na nipo hapa kusoma Kila comment na ushauri mtakaonipa
Yaani nikitongozwa face to face ndo siwezi kumuangalia mtongozaji usoni pia siwezi kuongea naona aibu balaaaKabla sijakushauri cha kufanya ili uwe confident, ningependa kujua reaction yako ukitongozwa face to face,
sitaki uongelee mitongozo ya kupigiwa simu au kuchat,
nikijua hilo ntapata pa kuanzia kukushauri.
Ukiwa na wewe umemuelewa na unataka umkubalie unamkubaliaje?Yaani nikitongozwa face to face ndo siwezi kumuangalia mtongozaji usoni pia siwezi kuongea naona aibu balaaa
Mzee baba una test mitambo mkuu?Ukiwa na wewe umemuelewa na unataka umkubalie unamkubaliaje?
Tafuta pesa Kisha uwe na bwana mmoja tu mnayeheshimiana.Mimi ke