Umri wako......?
nisaidie kuuliza kama ni mzungu. Age aint nothing but a number.
Mimi niko mombasa nafanya kazi na safaricom(IT) natafuta msichana mpoa anayefurahisha na mwenye sura nzuri
Mweeee.......mi nilikuwa natafuta wa kutokea Brooklyn.......Mombasa hapana aisee......duh....
So unapenda wazungu more than watu wa nchi yako
Mimi niko mombasa nafanya kazi na safaricom(IT) natafuta msichana mpoa anayefurahisha na mwenye sura nzuri
Dunia imearibikaMi nipo bongo nataka msichana no future plan ni game tu.. π
teh teh teh,preta unaogopa wa mombasa, wamezoea kutumia 0712?....Mweeee.......mi nilikuwa natafuta wa kutokea Brooklyn.......Mombasa hapana aisee......duh....