nahitaji msichana aliye serious na mahusiano

nahitaji msichana aliye serious na mahusiano

kupe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
1,035
Reaction score
328
Mimi nipo nje ya nchi na nategemea kurudi tanzania muda si mrefu. Nitafurahi sana kama nitapata msichana aliye serious na mahusiano ikiwezekana hadi future . umri awe na miaka kati ya miaka 19 hadi 27 ...... Aliye na nia anaweza kuni pm. Nitampa contact zangu. Asanteni.
 
lol...nje ya nchi wapi, umri na vyenginevyo muhimu.
 
Mimi niko mombasa nafanya kazi na safaricom(IT) natafuta msichana mpoa anayefurahisha na mwenye sura nzuri
 
Mimi niko mombasa nafanya kazi na safaricom(IT) natafuta msichana mpoa anayefurahisha na mwenye sura nzuri

Mweeee.......mi nilikuwa natafuta wa kutokea Brooklyn.......Mombasa hapana aisee......duh....
 
... Wanaotafuta wasichana humu msipate shida sana "nendeni viuoni, kuna wale 500 wa mama Salma Kikwete wanaoishi na VVU" hawana makubwa, ukiwaangalia kwa sura utawapenda.
 
Mambo ya digital na wanawake unatafutia katika mtandao tu, kweli ni balaa
 
kama watokea mombasa,hauli samaki, si wazanziberii hatulisamaki twala jicho la samaki, weye wala bataaaa ?
 
Mi nipo bongo nataka msichana no future plan ni game tu.. 🙂
 
Mweeee.......mi nilikuwa natafuta wa kutokea Brooklyn.......Mombasa hapana aisee......duh....
teh teh teh,preta unaogopa wa mombasa, wamezoea kutumia 0712?....
 
Back
Top Bottom