RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Tumpigie Tundu Lissu ili Wakenya wamikikishwe Tanzanite yetu, Mlima Kilimanjaro, Benki kuu, na Bandari ya Tanga.CCM mgombea wake kazungumzia ndege,barabara,stigraz,sgr na meli....
Naam, fao la kujitoa linamhusu kila aliye ajiliwa na mwajiliwa mtarajiwa.fao la kujitoa linatuhusu sana jamii moja kwa moja na uhakika wa pesa zetu. barabara zitakuja na ndege zitakuja nyuma
Pigia kura Lissu kwa ajili ya "uhuru haki na maendeleo".Tumpigie Tundu Lissu ili Wakenya wamikikishwe Tanzanite yetu, Mlima Kilimanjaro, Benki kuu, na Bandari ya Tanga.
NB Labda angekuwa hata Hashimu Rungwe lakini Tundu Lissu tayari ameingia Mkataba wa Kuhakikisha vishika uchumi wa nchi vinateteleka.
Mwambie TUNDU LISSU Kila anakopita anakiharibu
CCM mgombea wake kazungumzia ndege,barabara,stigraz,sgr na meli...
Hujui kitu Bora ukae kimya.Tumpigie Tundu Lissu ili Wakenya wamikikishwe Tanzanite yetu, Mlima Kilimanjaro, Benki kuu, na Bandari ya Tanga.
NB Labda angekuwa hata Hashimu Rungwe lakini Tundu Lissu tayari ameingia Mkataba wa Kuhakikisha vishika uchumi wa nchi vinateteleka.
Mwambie TUNDU LISSU Kila anakopita anakiharibu
Hii ni JF home of GT,huu upuuzi wako ungepeleka Facebook pengine ungeeleweka!Mnakera sana mnapoandika pumba utafikiri JF ni kwa wajinga wajinga!Tumpigie Tundu Lissu ili Wakenya wamikikishwe Tanzanite yetu, Mlima Kilimanjaro, Benki kuu, na Bandari ya Tanga.
NB Labda angekuwa hata Hashimu Rungwe lakini Tundu Lissu tayari ameingia Mkataba wa Kuhakikisha vishika uchumi wa nchi vinateteleka.
Mwambie TUNDU LISSU Kila anakopita anakiharibu
Hatuna Cha kupoteza zaidi ya minyororo, tumpigie kura TAL.Ukiona baba nyumbani hazungumzii mambo flani katika vikao vya familia, ujue mambo hayo hayako kwenye mipango yake.
Hakika inatakiwa tukampumzishe chato.Mgombea wao anapo ongelea suala la ajira, kuboresha mishahara, nk. Huwa anajawa na uso wa aibu na uliojaa uongo mwingi.
Wahitimu wa vyuo, Wastaafu na Watumishi wa Umma, ni vyema wakaamua kwa pamoja. Hakuna kumpigia kura magufuli! Ili hata kama atashinda kwa bao la mkono, afahamu fika hatumkubali.
Ngoja Lissu atuletee Serikali ya majimbo, tukomeshe huu upigaji.CCM wanapenda miradi ajili ya kupiga dili
Hakika mtaji wa ccm niwatz wajinga.Hakuna jibu wanaweza kukupa hao kima..
Zaidi ya kukwambia wanaongeza ndege nyingine tatu.
Mtaji wa CCM ni UJINGA wa waTanzania.