Nahitaji mtu mzima nitulie nae

Nahitaji mtu mzima nitulie nae

Kuna watu wanataka wa kuishi nao mikoani wake zao hawataki kutoka dar,uko teyari kufunga biashara na kwenda mkoa wowote?
 
Kwa umri wako huo (25) nashauri utulie tu wako atakuja hata ukiwa at 30 years of age kuliko kuchukua babu wa miaka 45 hadi 60 ambaye uwezekano wa kukufanya mchepuko ni mkubwa kuliko maelezo.
Vuta subira, muombe Mungu atakupatia mme. Usikate tamaa.
Mwisho kabisa pambania maisha yako na mtoto mme atakukuta siku ikifika.
 
Bado haujaweka bayana, huyo mtoto baba yake amekufa mwaka gani?
 
Kwa umri wako huo (25) nashauri utulie tu wako atakuja hata ukiwa at 30 years of age kuliko kuchukua babu wa miaka 45 hadi 60 ambaye uwezekano wa kukufanya mchepuko ni mkubwa kuliko maelezo.
Vuta subira, muombe Mungu atakupatia mme. Usikate tamaa.
Mwisho kabisa pambania maisha yako na mtoto mme atakukuta siku ikifika.
Asante kwa ushauri
 
Habarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao.
Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini yoyote,kabila lolote pia awe anajiweza kiuchumi.
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja niko na 25 years dini ni mkristo pia ni mjasiriamali.
Note:Awe tayari kucheck afya pia nahitaji wa kutulia nae sio hit and run
Serious inbox me
Na umri huo una mtoto? Uliharakisha kuyaonja maisha sasa unajutia
 
Kwa umri wako huo (25) nashauri utulie tu wako atakuja hata ukiwa at 30 years of age kuliko kuchukua babu wa miaka 45 hadi 60 ambaye uwezekano wa kukufanya mchepuko ni mkubwa kuliko maelezo.
Vuta subira, muombe Mungu atakupatia mme. Usikate tamaa.
Mwisho kabisa pambania maisha yako na mtoto mme atakukuta siku ikifika.
Acha ndoto, mababu tunaanzia 60 kwenda mbele. 45 kwa miaka hii ni kijana bado
 
Back
Top Bottom