Nahitaji mtu wa kuungana naye tuwekeze ktk kiwanda cha sembe

Safi sana kiongozi mi navutiwa sana jinsi unavyopambana, najua utakuwa na mtaji wa kuzungushia coz bila ya hivyo ni ngumu, lakini kuna wengine wapo na hela lakini inaishia kutoka tu na mtu hata hajui aizungushe vipi.

Inatia sana moyo mkuu...!
asante mkuu
 
asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…