Nahitaji mtu wa kuungana naye tuwekeze ktk kiwanda cha sembe

Nahitaji mtu wa kuungana naye tuwekeze ktk kiwanda cha sembe

Safi sana kiongozi mi navutiwa sana jinsi unavyopambana, najua utakuwa na mtaji wa kuzungushia coz bila ya hivyo ni ngumu, lakini kuna wengine wapo na hela lakini inaishia kutoka tu na mtu hata hajui aizungushe vipi.

Inatia sana moyo mkuu...!
asante mkuu
 
Package waone sanku fortification watakupa kwa makubaliano na fortification. Nendo rahisi utatengenezewa kwa bei chee halafu utawatumia wao waibandike kwenye package yao. Yani utatengenezewa packages nyng wewe utakuwa unalipia kidogo kidogo unachukua na wanakupa virutubushi bure na wanaweza kukupa hata mashine ya dosfier bure
asante mkuu
 
Back
Top Bottom