Nahitaji mtu wa kuzaa naye

Nahitaji mtu wa kuzaa naye

HAbari zenu,

Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.

Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
Kichwà cha habari wahitaji MTU wa kuzaa nae. Content majanga mwanzo mwisho
Pole sana.
Unataka kuwa kitalu cha kukuzia mtoto ?
 
Hapo umeongea i support u unafanya kitu kubadilisha familia fulani nao wapate furaha kwa tz wataona jambo la ajabu ila kwa akina trump kitu cha kawaida
 
naona mleta mada kaamua achukue concept yote ya kwenye movie iitwayo WHEN THE BOUGH BREAKS afu kaja kuibadirisha iwe hoja kusudi atupime mbongo zetu,umechemsha sio wote vilaza hapa na mikakati yako ya kufikirika binti...
 
HAbari zenu,

Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.

Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
Duuh!
Uzi wa zamani though
 
Back
Top Bottom