Nahitaji mtu wa kuzaa naye

Nahitaji mtu wa kuzaa naye

HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.


Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
Kweli jf siku hizi imekua fb[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] ??
 
Weka picha yako kwanza... Usijejezaa mtungi wa maji burerr!!!
[emoji23] [emoji23] mkuu hukumuelewa kasema mbegu zitatoka kwa mwanaume na mke wake au mwanamk wake yy atabandkizwa tu ki science so mtoto atatokaje n sura yake wakat hatochangia mbegu yy ??
 
Hiyo kisayansi inahitaji ufafanuzi kwa sisi wengine was daraja LA iii inamaana wanakamua mbegu kwa mashine au tunabadilishana joto?
Baba hapo unabadilishana joto, hii ni mbinu mpya ya kupata wame za watu
Ili wawahudumie
 
True fact. Mwenyeji kaamua kujificha anase madanga mapya.
Huyu sio mgeni. Bali ni mwenyeji alie amua kutumia ID mpya.

Ebu jiulize......
Kajuaje mambo ya mp?
Na kajuaje kama hua tunaomba/toa ushauri humu?
 
Hivi tanzania kuna kupandikiza mbegu au ni lazima upokee dushelele kwanza ndio ziingie
 
Hivi vichwa vingekuwa vinawaza maswala ya ubunifu kiteknolojia tungekuwa mbali kinoma!!!
 
Beauty hongera ila mwenzetu mgeni(unajua kutumia fursa) jana tu umejiunga leo ushaijua pm. Na biashara juu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.


Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
 
Nimekaa nimewaza. The feeling of a little one growing in your womb.

The many the little one makes his presence known. The kicks, the hiccups.

Am trying to picture a woman reading endless journals on the baby she is carrying. Silly articles that try to predict the Gender of the baby like the Chinese Calender or old wives tales.

How a woman looks forward to the birth of her child. How she yearns to carry the baby in her arms and kiss him for the first time.

How excited she is whether she is in a relationship or not. She lives for the child only.

Then I try to step into the shoes of this lady. Will you carry a child and then give them up just like that?
 
HAbari zenu,

Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.

Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
Wewe utakuwa nimpenzi was zile tamthilia za kifipino kama sio movie za kiindi, hah hah unataka ucheze movie yako mubashara..
 
Ndani ya miaka6 ukipata tenda tatu tu maisha yaleee yamekunyookea but unfortunately bongo mambo hayo hakuna soko lipo ulaya na marekani huko
 
HAbari zenu,

Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.

Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
Ni pm aiseee
 
Back
Top Bottom