Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaha[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] sh ngapi kwa mimba moja???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji95]Weka picha yako kwanza... Usijejezaa mtungi wa maji burerr!!!
Huyu mwenyeji Sema ameamua kutumia fekero
Huyu n member maarufuu
N ameamua tu kufungua
A/c nyingne na id tofaut
Acjulikane
Ni PM tuyamalize hata hivo nna ham ya gegedo.HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.
Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
Ulisharipoti central mkuu???[emoji30]
[emoji115][emoji116]Hii rahaa ya bure unayopata hapa JF anza kuilipia twafadhali![emoji1]hahahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji95]
Kunaendaga hvo mkuuuKuumbe huu mchezo unakua hivi.
central kwa babako au mamako?Ulisharipoti central mkuu???[emoji30]
[emoji30] [emoji30] [emoji30]central kwa babako au mamako?
Nipo hapa niPM nami nahitaji sana iyooHAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.
Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.