Nahitaji mtu wa kuzaa naye

Nahitaji mtu wa kuzaa naye

Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza,google ujue kama mgumba anaweza beba mimba(mleta mada ana uwezo wa kubeba mimba)

Usikejeli wasiohusika
Kwa umri wako nahc ushajuwakuwa wewe ni mgumba
 
Hizi mada za kutafuta mchumba, Mme/Mke, wa kuzaa naye na mengineyo yafananayo na hayo mbona I'd zake zote huwa mpya kabisa?!
 
HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.


Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
Unamaanisha unataka kuwa surrogate mother....?i'll pay,PM,shart mtoto nitamchukua akifikisha miaka 2...
 
HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.


Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
Lengo lako nini?
 
HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.


Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
Surrogate mother bongo???
 
Hata sijaelewa akili yako..

Jpm legeza baba kizazi kinaangamia huku uraiani
 
Hivi haitafika siku ukammiss, kumkumbuka mtoto wako uliyemtunza tumboni mwako kwa miezi 9 na kumzaa kwa uchungu? Kweli?
 
HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.


Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
tuongeee
 
Atakuwaje mtoto wa damu yao wakati umemzaa wewe, please tuweke sawa hapo ili wenye uhitaji tukuelewe vyema
hii inaitwa surrogate mother, anachofanya huyo dada ni ku-rent womb tu fertilization inakuwa ni kwa yule baba na mama ambao wameshindwa kupata ujauzito kwa sababu mwanamke uterus yake ina shida.

Kitaalamu, wana artificial fertilization kwa wale wanandoa then wanaenda kupandikiza zygote kwa huyu dada yetu wakati wa yeye kuweza kubeba mimba ili uterus yake itumike kama sehemu ya kukuzia hiyo mimba.

Kwahiyo, mtoto atakuwa wa damu yao sema tu kazaliwa na mtu mwingine genetically atakuwa na genes za wazazi wake

Hii sayansi ipo na inafanyika kwenye nchi zilizo endelea sana kwenye medical field. Kwa mtanzania anaweza fanya kwa kwenda huko ila itabidi akae huko zaidi ya mwezi ( kufanya artificial fertilization ya wazazi waliyokosa mtoto na kuweza kupandikiza ) hapo gharama inakuwa kubwa bado na charges za hospital.

Hongera sana dada ila unatakiwa uwe na moyo kweli usije katalia mtoto tu hahahahahah
 
HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.


Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
njaaaaaa inaleta Idea mbali mbali sana,wakupe sh ngapi kwa kazi hiyo
 
HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.


Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
Niko tayari ni PM
 
HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.


Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
Niko tayari ni PM
 
Back
Top Bottom