Nahitaji mume 33-40 age

Nafikiria kitu endelevu hapa. Hili nalo yaelekea kuwa ni janga la kitaifa. Vijana wa leo hatuna mazingira rasmi ya kukutana ama kukutanishwa kwa ajili ya kufanya maamuzi ya kimahusiano. Miji imetumeza. Huyu sharobaro, huyu cheksister, huyu sitaki nataka, n.k kuja tahamaki muda hakuna. Dada all the best
 
Nimeshaonesha matendo yote nasubiri anipe go ahead..., am sure hata yeye anajua kwamba ameniteka...(ila kaamua kunitesa tu mtoto wa watu)

I meant uonyeshe mfano kwa kumhurumia dada yetu hapa alafu labda na wewe utaonewa huruma!
 
Nimeshaonesha matendo yote nasubiri anipe go ahead..., am sure hata yeye anajua kwamba ameniteka...(ila kaamua kunitesa tu mtoto wa watu)

VoR.. kuna jamaa alikosa mke kwa ku-assume kuwa mdada anajua kwamba anampenda na ana nia ya kumuoa...siku ya siku mdada akamletea good news kwamba kampata mchumba....yeye alikuwa ni kama kaka...so take a step...:decision:
 
VoR.. kuna jamaa alikosa mke kwa ku-assume kuwa mdada anajua kwamba anampenda na ana nia ya kumuoa...siku ya siku mdada akamletea good news kwamba kampata mchumba....yeye alikuwa ni kama kaka...so take a step...:decision:

Asante kwa ushauri mzuri... Keren.., Hii ngoja ngoja naweza kukosa bahati..., yaani yote haya bado hajaona tu, after all action speaks louder than words
 
VoR.. kuna jamaa alikosa mke kwa ku-assume kuwa mdada anajua kwamba anampenda na ana nia ya kumuoa...siku ya siku mdada akamletea good news kwamba kampata mchumba....yeye alikuwa ni kama kaka...so take a step...:decision:

Kweli kabisa KH!Wengi sana hua wanapoteza watu waliowapenda kwa kuassume mambo!
 
Mi nipo under age, ila nipo makini sana.
All the best..
 
Duh Sijui nishachelewa ndio naoina leo ila mh! vigezo ndio taaabuuuu wengine hapo tushabaguliwa tusio na elimu ya juu ila wachapa kazi zote za ndani na nje
 
Yani umpige sound!Au kama ameshindwa kukusoma mpaka sasa hivi mpotezee!

Hapo kwenye mpotezee sio rahisi kihivyo.., si unajua roho ikipenda huwezi kuzima na kuwasha kama vile mshumaa
 
Usiwe confused karen naanza kufata ushauri wako in few minutes.., and you will be the first to know...

Hiyo inatia moyo.... Wish you all the best....and hope hatautupa moyo wako chini...ataweza kuu-handle with care!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…