Nahitaji mume aliye serious na maisha

Nahitaji mume aliye serious na maisha

Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha cna mtoto,cfa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana pm karibuni.Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Weka no,hapa sasa nikose jiko kwakua pm sipajui weka no, hapa hapa tuyajenge.
 
Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha cna mtoto,cfa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana pm karibuni.Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Mi nipo serious na maisha tena nayachukulia verry serious[emoji3]
 
Mwenzio wa Musoma alipost jana kutafuta mchumba akasema anatafuta mke..kigezo awe na bikra. Hujauona uzi au kigezo husika huna?
Yuko vizuri kwakweli [emoji23][emoji23] aendelee kutafuta mi musoma nawaogopa wanamapanga [emoji23]
 
Hapo mtanisamehe kidogo siunajua mkiwa dini tofauti inavosumbua Kaka hasa ndg zetu Islamic wanasheria ngumu
Wapenda sheria nyepesi sio...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wataka mungu akupe pepo yake kiurahisi.... wakati unakesha ukitafuta utajiri... hakuna rahisi rahisi lazima upambane ndio upate...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], anyway utapata wenzako wapenda ubwete ubwete.
 
Wapenda sheria nyepesi sio...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wataka mungu akupe pepo yake kiurahisi.... wakati unakesha ukitafuta utajiri... hakuna rahisi rahisi lazima upambane ndio upate...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], anyway utapata wenzako wapenda ubwete ubwete.
Haina shida kila ndege hutua mti aupendao hayo nimaono yangu namawazo yangu pia siwezi fanya kitu kwasababu yamtu nafanya nitakavyo Mimi uwe nasku njema.
 
Haina shida kila ndege hutua mti aupendao hayo nimaono yangu namawazo yangu pia siwezi fanya kitu kwasababu yamtu nafanya nitakavyo Mimi uwe nasku njema.
Maono yako sio mabaya, pia unaitumia akili vizuri sanaaaaa HONGERAAAA yako dada INAPENDEZA. Ila itumie pia hiyo akili kwa upande zaidi kwenye kutafakari na kusoma vitabu vyote venye kukuongoza kuzijua Dini zote nakukumbusha tuu kama mwanaadamu mwenzako.[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom