Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka no,hapa sasa nikose jiko kwakua pm sipajui weka no, hapa hapa tuyajenge.Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha cna mtoto,cfa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana pm karibuni.Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Masanza KonaNale nsukuma wa ngw'anzaa bhebhe wa hale.
Mwadila mayoHello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha cna mtoto,cfa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana pm karibuni.Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Haya ndo majibu yako ..hivi kweli utaweza ndoa weweVyura wako majini,kama unataka chura nenda majini wako wengi.
Mi nipo serious na maisha tena nayachukulia verry serious[emoji3]Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha cna mtoto,cfa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana pm karibuni.Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Ana chura?Behaviourist wahi huku wewe sifa zote zimetick hapa
Wapenda sheria nyepesi sio...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wataka mungu akupe pepo yake kiurahisi.... wakati unakesha ukitafuta utajiri... hakuna rahisi rahisi lazima upambane ndio upate...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], anyway utapata wenzako wapenda ubwete ubwete.Hapo mtanisamehe kidogo siunajua mkiwa dini tofauti inavosumbua Kaka hasa ndg zetu Islamic wanasheria ngumu
Unaongea kwa jazba na kibri kama yule rais fulani wa watanzania wa kanda ya ziwa!Kwahiyo chura ndio ndoa? Uzuri wamwanamke tabia nauzuri wamwanaume nitabia pia endelea kusaka vyura majini
Haina shida kila ndege hutua mti aupendao hayo nimaono yangu namawazo yangu pia siwezi fanya kitu kwasababu yamtu nafanya nitakavyo Mimi uwe nasku njema.Wapenda sheria nyepesi sio...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wataka mungu akupe pepo yake kiurahisi.... wakati unakesha ukitafuta utajiri... hakuna rahisi rahisi lazima upambane ndio upate...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], anyway utapata wenzako wapenda ubwete ubwete.
Maono yako sio mabaya, pia unaitumia akili vizuri sanaaaaa HONGERAAAA yako dada INAPENDEZA. Ila itumie pia hiyo akili kwa upande zaidi kwenye kutafakari na kusoma vitabu vyote venye kukuongoza kuzijua Dini zote nakukumbusha tuu kama mwanaadamu mwenzako.[emoji848][emoji848][emoji848]Haina shida kila ndege hutua mti aupendao hayo nimaono yangu namawazo yangu pia siwezi fanya kitu kwasababu yamtu nafanya nitakavyo Mimi uwe nasku njema.