Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chura ndio Ndoa bibie,yani bila chura no NDOAKwahiyo chura ndio ndoa? Uzuri wamwanamke tabia nauzuri wamwanaume nitabia pia endelea kusaka vyura majini
Hao huwa ni rahisi kupigwa, atatumiwa picha mtoto mweupee, anaambiwa nitumie laki ya nauli na kusuka[emoji38][emoji38][emoji38]Wasukuma again
Una chura ?
Hicho ndo cha msingi maana naweza kupeperuka kutoka manzese mpaka kanda ya ziwa
nataka mwanamke anaye jishugulisha both sidesMkuu wewe unataka kuoa kazi boss[emoji23]
Duh, sijamwambia awe muislamu wala Hinduism, nimemwambia akasome kwa upana zaidi yani asome kila upande, sijui umenielewa?.Acha siasa za dini. Dini yako haikufikishi popote kama huna matendo mema na upendo.
Sio lazima uwe mwislamu ili uone pepo
Tajiri Ng'ombe 😁😂😅😄😃Wasukuma again
MkuuCjakuelewa hapo mkuu