Nahitaji mume aliye serious na maisha

Nahitaji mume aliye serious na maisha

Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha cna mtoto,cfa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana pm karibuni.Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Mungu anaweza kukupa mme toka sehemu yoyote,na unaweza kuta mme wako yupo kusini huko au ni mchaga.
Kikubwa upendo dada
 
Back
Top Bottom