Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwangaluka!Wao waje tuu haina shida mpendwa namimi msukuma mwenzao pia
Mungu anaweza kukupa mme toka sehemu yoyote,na unaweza kuta mme wako yupo kusini huko au ni mchaga.Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha cna mtoto,cfa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana pm karibuni.Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Uli nsukuma wa Hale? Nigishaghe Ng'walufunguloNgw'analuka eminza
Mm nataka muke shida huko pm mm sipajui kabisa unaonaje kama ungeweka no,hapa tuwasiliane?Ngw'analuka eminza
Maelewano tu mwishowe mnaishi pamojaTatizo ninachoogopa ni distance Example mbeya to mwanza duuuuu[emoji848]