Nahitaji mume aliye serious na maisha

Nahitaji mume aliye serious na maisha

Funga uzi mama.Mume umepata. Mumeo nipo kanda ya ziwa pia. Mwanza. Iloganzala hapa. Uko wap mama angu
 
Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha sina mtoto, sifa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana PM karibuni.

Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Hujataja umri!!
 
Hakikisha na wewe upo siriaz maana asili ya dunia hukupatia kile kinachofanana na wewe.
 
Toka jamii forum walipo badilisha mfumo, nimeshindwa kuingia pm! Sasa nielekeze namna ya kuingia nikutafute!! Ninauhitaji kweli kweli!
 
Application is still open or closed? Nipe mrejesho please!
 
Hao huwa ni rahisi kupigwa, atatumiwa picha mtoto mweupee, anaambiwa nitumie laki ya nauli na kusuka[emoji38][emoji38][emoji38]
Endelea kukalili hivohivo mawazo yako ndipo yalipoishia ckuzuii kuongea ukitakacho usifikiri kila aliyeko humu anaakili unazoziwaza wewe[emoji57]
 
Back
Top Bottom