park don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 4,923
- 7,048
vp tena wapi huko??[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vp tena wapi huko??[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
aah jitahd ujibu tu ata kwa isharaSwali limekuwa gumu [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Ulikutana na wala kimasihala?Nilishaachana na habari za huku mkuu hakuna jipya mi asaiv ni ndugu mtazamaji.
Twende Pm wangu, mimi niko verified kabisaa 🥰Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha sina mtoto, sifa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana PM karibuni.
Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Pole sana, sasa unaweza settle na huyu kijana hapa.🤗[emoji849][emoji849]
Hiyo nzuri.👏 ina maana hitaji muhimu la nne la binadamu kamili haulitumii aise?Nimeishaachana nahizo habari mkuu nakomaa na life kwanza mengine yatajileta yenyewe boss
Code mbona nyepesi sana hiyo? Hivyo vyombo havisuguliwi?Hitaji lipi hilo mkuu nifafanulie[emoji1745][emoji1745]
Vya kabatini vinatumika, ingekuwa vipo store sawa.🤣[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44] vyombo vipo kabatini.
Sawa sawa. Vingine wametunziwa wageni maalum.😅Sio kila kilichomo kabatini kinatumika boss acha kukalili.