Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

Mimi ni msichana umri wangu ni miaka 28,nahitaji mwanaume ambae mungu akijaalia awe mume wangu wa ndoa.
Ni baada ya kukaa mda mrefu bila ya mahusiano... Awe tayari kuwa nami kwa shida na raha. Nami ntakuwa tayari kuwa nae kwenye shida na raha. Awe anafanya kazi halali ya kumuingizia kipato cha kuitunza familia yake..
Awe na umri kuanzia miaka 35 _40. Na awe tayari kwenda kucheki afya kabla ya yote.
Na pia sihitaji kujihusisha katika mapenzi mpaka ndoa.

Naamini kutakuwa na mwanaume mwenye hitaji la kweli Kama langu. Tuwe wakweli ..Sichagui dini.. Asanteni..

Kuna member mmoja humu ndani alikuja na bandiko analalamika kuwa mke wake (Wamefunga ndoa hivi karibuni) alimkatalia sex hadi baadaa ya ndoa, baada ya ndoa anakuta mwanamke anatatuu ya jina la bwana wake aliyembikirua pembeni kidogo ya papuchi. Now analalamika anataka kuvunja ndoa, kashindwa kabisa kuvumilia.

Point yangu dada yangu, kwa sisi mafisi wa kizazi hiki omba sana Mungu akusaidie maana kumpata wa hitaji la moyo wako si kazi ndogo. Ni wachache sana wanaoweza kwenda na beats za "Sex hadi ndoa"
 
Mimi ni msichana umri wangu ni miaka 28,nahitaji mwanaume ambae mungu akijaalia awe mume wangu wa ndoa.
Ni baada ya kukaa mda mrefu bila ya mahusiano... Awe tayari kuwa nami kwa shida na raha. Nami ntakuwa tayari kuwa nae kwenye shida na raha. Awe anafanya kazi halali ya kumuingizia kipato cha kuitunza familia yake..
Awe na umri kuanzia miaka 35 _40. Na awe tayari kwenda kucheki afya kabla ya yote.
Na pia sihitaji kujihusisha katika mapenzi mpaka ndoa.

Naamini kutakuwa na mwanaume mwenye hitaji la kweli Kama langu. Tuwe wakweli ..Sichagui dini.. Asanteni..
ka uko bikra ni pm.
 
Yani wengine umewapa wamekula weee hawajaoa halaf ambae anataka kuoa ndio anaambiwa asubiri....hehehehehe


Miaka 28 jua limekaribia magharibi....ww unayo kazi halali?!
Chaajabu hao waliopita akikutana nao chobingo anawapa.
 
Sasa kama.unajua hao waoaji hela ya Boxa anatuma baba mkwe
Unafanya nn kwenye hii thread?
Duuu ndo wanawake tulionao siku hz Hawa sishangai
Ndo hao menopause ikisogea wanakuja na thredi zenye masharti.
 
Mimi nipo nilioa MWANAMKE asiye na sifa kama zako nilimuacha,kwa kua wewe una sifa nizitakazo ni pm.
 
Dada ni vema umeweka vigezo vyako hadharani, nina swali kama hautajali; Je upo tayari kuolewa mke wa pili kwenye ndoa ya kiislamu?
 
Mrs fiancée na Miss natafuta . mwaweza kupata waume , if God wishes. Lakini kiukweli posts zenu tu hapa ni shiida esp. Miss natafuta. With that attitude!!! Mmmmh I doubt.

Wengi ambao wameolewa trust me walikua na good attitude kwa hao wenza wao. Hata kama wengine huwa wanapretend kabla ya ndoa. Ila lazima uonyeshe kujiheshimu. Hata kama umekaa na watu wanaoonyesha kutojiheshimu au kutokukuheshimu, ukijiheshimu baada ya mda na wao watakuheshimu tu. " Sijui mmenielewa"

Na kwa dada yangu mrs fiancée . change your account name kwanza. . . . lenyewe tu halikuuzi sana kupata huyo mme.

Pili ukipost tena usiweke vigezo na masharti, vya namna hiyo. Tangaza nia, toa extra details kwa wenye kuonyesha interest. Then watakao wasiliana na wewe ndio utaaanza chuja umri " kwa busara na kimya kimya". Hata hivyo umri si issue.Kama mtu ana nia. Na pia utawapa misimamo yako mingine kama hiyo ya kuto sex kabla ya ndoa. Atakaye kubali, atakubali. Japo mi naona mmh . . . hiko sio kigezo cha kumpata muoaji wa kweli. Sana sana utarise doubts kwa huyo mtu. Binadamu tuna asili ya kutaka kujua . tena hasa pale unapomkataza mtu kitu, ndio unamjengea hamu ya kutamani kujua zaidi. Hivyo kukataa sex kabla, kutamfanya ndio atake hasa.
Bora ukatae kwa kuzingua flan na kubembeleza but sio straight forward.

Kwa ufupi hilo tangazo " thread " yako umeikosea. Ni kama kutangaza product alafu ukaipromot kwa kutaja mapungufu yake kwanza .
Yaani unaitangaza kwa kuanza kutoa tahadhari kwamba service flani ni hadi mteja afikie premium levle og purchase" Tangaza tu product alafu mapungufu mengine ambayo mteja alitarajia kumbe hayawi provided kwa mda huo, mtacompromise.
Hiyo ndiyo markerting sio jinsi ulivyo anzisha.
Na wewe naamini ni shahidi kwamba umekosea maana umeona response ya thread ambavyo imekua.
Na huyo Miss Natafuta ndio kakuharibia kabisaaa. ( kama ni kweli huyo miss pia ni we mwenyewe basi umejiharibia).

Mawazo yangu tu. Nnayo yaamini.
Fact things[emoji106]
 
Back
Top Bottom