Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

Aaa wapi. Nnayo ya kudumu na nyingine za akiba za kutosha tu. Sihitaji toleo jipya.
HV huyu Dada sijui kaka hana kazi nyingine za kufanya?
Kila comment yeye ukimwambia ni thread yake anabisha
Na inamuuma kweli aisee
Now anakulazimisha kama.unamtamani ana matatizo gani aisee
 
Toka uzaliwe hujawahi kushiriki mapenzi? Kama hujawahi sawa... Kama ushawahi kwa nini umdhulumu huyu wa sasa?
 
Kwakweli huyu unawezana naye wewe... naona analicheza dansi lako kwa kadiri utakavyo...
Ulimbukeni tu unamsumbua huyu
Mara akuambie una kisukari na.mkeo unagongewa Mara umekula papuchi.ngap
Akaj.ambe boga huko
 
Pole sana, hakuna msichana wa umuri wako ambae hajawahi kupata mchumba wa kumuoa. Shida kubwa wadada mkiwa hot mnavutia mnanyodo sana hasa ukute unakielimu kako kidogo kichwani au familia inakauwezo kamboga tatu basi tabu tupu, mbwembwe, pozi, maringo mengi mwisho ndio kama hivi.
Miaka 28 bado uliyoipunguza, ukizaa kwa mpango kupishanisha watoto kwa miaka mitano watoto 3 siutafia leba wewe?
 
Support your request by attarch the pic
 
Kama ww ni bikra nipm niko serious nakuhitaji na niko tayari kuishi na wewe katika kila hali
 
Pole sana, hakuna msichana wa umuri wako ambae hajawahi kupata mchumba wa kumuoa. Shida kubwa wadada mkiwa hot mnavutia mnanyodo sana hasa ukute unakielimu kako kidogo kichwani au familia inakauwezo kamboga tatu basi tabu tupu, mbwembwe, pozi, maringo mengi mwisho ndio kama hivi.
Miaka 28 bado uliyoipunguza, ukizaa kwa mpango kupishanisha watoto kwa miaka mitano watoto 3 siutafia leba wewe?
duuuh
 
Yani wengine umewapa wamekula weee hawajaoa halaf ambae anataka kuoa ndio anaambiwa asubiri....hehehehehe


Miaka 28 jua limekaribia magharibi....ww unayo kazi halali?!
Na hapo unakuta alishapigwa kavu saana pengine hata abortion amesha wahi kufanya alafu anataka huyo muoaji ndio ampe adhabu sijui mpaka ndoa ndio aanze kutumia hilo used hole.

Kwanza sijui nani anawadanganyaga kipimo cha mwanaume mwenye nia ya dhati ni kumnyima uchi kwanza wakati mtu mara nyingi mtu akishafika miaka 30 sex kwake ni sehemu ndogo sana ya maisha yake,na ni uendowazimu kumlaghai binti eti unataka kumuoa kwa ajiri ya kupata sex tu.
 
Taja dini yako hata kama huchagui dini.
Eleza shughuli yako na sehemu/mkoa unapoishi.
Mtangulize Mungu kwenye kila jambo, kamwe usife moyo hata katika wakati mgumu.
 
ni pm uje nikuoe mke wa pili kma uko tayari.vigezo vyote ninavyo
 
Km hutaki penzi kabla ya ndoa je nikikuta hauna kitu itakuwaje
 
Back
Top Bottom