hakunagaNahitaji mume wa kuanzia miaka 39 hadi 50. Awe mrefu na mkweli. Awe serious & Mwenye hofu ya Mungu. Nimejiajiri&nina mtoto mmoja.
MUME WA MTU PITA PEMBENI, WENYE UMRI CHINI YA 39 PITA PEMBENI. KARIBU PM
Ha ha haaa na kweli atakuwa da ngulo kwa mana huwo umri ni wa kuanza kujiandaa na tezi dume!Miaka 39 hana mke paka sasa na huyu jina lake litakua da ngulo pia
Mzee umechanjwa?? una maoni gani kuhusu chanjo?hakunaga
Huyu itakua ni dada glory kafupisha dagulo🤣🤣Kweny username yako kuna herufi 'N' imekosekana asa sijui ni kwa bahati mbaya au ndo ulipenda iwe ivyo!
Ila acha nipite pembeni maana nimekuta sina vigezo
HongeraAsanteni wote kwa ushirikiano wenu mlioutoa kwenye post yangu.Mbarikiwe wote hata wale mliokejeli.Karibuni sana kwenye Sherehe ya harusi yangu mwez wa kumi.NAWATAKIA KILA LA KHERI.
Tunakuja pm au ndio ilikua unatutishia maana umepata kwa harakaAsanteni wote kwa ushirikiano wenu mlioutoa kwenye post yangu.Mbarikiwe wote hata wale mliokejeli.Karibuni sana kwenye Sherehe ya harusi yangu mwez wa kumi.NAWATAKIA KILA LA KHERI.
Duuuh😂😂mrefu
We hukosi miaka 35 jua limezamaNahitaji mume wa kuanzia miaka 39 hadi 50. Awe mrefu na mkweli. Awe serious & Mwenye hofu ya Mungu. Nimejiajiri&nina mtoto mmoja.
MUME WA MTU PITA PEMBENI, WENYE UMRI CHINI YA 39 PITA PEMBENI. KARIBU PM
We njoo kwangu Moja kwa Moja usihangaikeHongera ngoja na mie niweke bango kumbe unapata kwel
Bange!Nahitaji mume wa kuanzia miaka 39 hadi 50. Awe mrefu na mkweli. Awe serious & Mwenye hofu ya Mungu. Nimejiajiri&nina mtoto mmoja.
MUME WA MTU PITA PEMBENI, WENYE UMRI CHINI YA 39 PITA PEMBENI. KARIBU PM
Ukiwa serious unapataHongera ngoja na mie niweke bango kumbe unapata kwel