Nahitaji mume mkristo

Nahitaji mume mkristo

Je Mbeya, Rukwa, Katavi kijiografia zipo uelekeo upi wa Tanzania?
Kusini Magharibi mwa Tanzania. Hajataja zone so namshangaa jamaa aliyesema eti hii ni zone mpya wakati P-Lissa ametaja direction tu.
Unajua mkuu Kuna watu wanajiona wanajua lakini wanafanya makosa madogo madogo katika uwelewa wao yanayowafanya waonekane ni walewale tu.
 
Nj
Habari wakuu,

Kama kichwa cha tangazo langu kisemavyo,nahitaji mume mkristo mwenye hofu ya Mungu.Awe na umri kuanzia miaka 34 na kuendelea,mkweli,muwazi na awe na shughuli halali kumpatia kipato.A

Kwa upande wangu mimi ni muajiriwa na jina miaka 34,mkristo,na nina mtoto mmoja.Napatikana Kusini magharibi mwa Tanzania.Mwenye uhitaji karibu sana Inbox.

Karibuni!
Njoo dm
 
Mkristo ni mtu yeyote mwenye akili timamu na kwa kupenda kwake mwenyewe anaenda ndani ya majengo yaitwayo kanisa ama maeneo ya wazi kupeleka fedha ili akatangaze vivutio vya utalii na maeneo tengwa ya nchi mbalimbali za mashariki ya kati km Israel, Jordan,Iraq pia na nchi kadhaa za Ulaya kwa masirahi ya waandishi wa kitabu kilichopewa jina la biblia.
Ujuaji wa kilofa sehemu isiyohusika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,

Kama kichwa cha tangazo langu kisemavyo,nahitaji mume mkristo mwenye hofu ya Mungu.Awe na umri kuanzia miaka 34 na kuendelea,mkweli,muwazi na awe na shughuli halali kumpatia kipato.A

Kwa upande wangu mimi ni muajiriwa na jina miaka 34,mkristo,na nina mtoto mmoja.Napatikana Kusini magharibi mwa Tanzania.Mwenye uhitaji karibu sana Inbox.

Karibuni!
Umri wangu sihitaji kuzaa, nahitaji wa kuishi nae tuu.
Njooo pm.
 
Kwa ushauri ongeza ongeza umri wa mume angalau uanzie 45 maana naona upo kwenye hatari ya kuongezewa mtoto mkubwa mwenye ndevu zake au kuzalishwa tena wengine.
 
Habari wakuu,

Kama kichwa cha tangazo langu kisemavyo,nahitaji mume mkristo mwenye hofu ya Mungu.Awe na umri kuanzia miaka 34 na kuendelea,mkweli,muwazi na awe na shughuli halali kumpatia kipato.A

Kwa upande wangu mimi ni muajiriwa na jina miaka 34,mkristo,na nina mtoto mmoja.Napatikana Kusini magharibi mwa Tanzania.Mwenye uhitaji karibu sana Inbox.

Karibuni!
Another one from Single mother 34 years. Ukimpata msisahau kutuma kadi ya michango kimsingi nitachangia depends on financial situation nitayokuwa nayo wakati husika.
 
Back
Top Bottom