Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
๐๐๐๐๐NAKAZIA TOKA TABATA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐NAKAZIA TOKA TABATA
Kusini Magharibi mwa Tanzania. Hajataja zone so namshangaa jamaa aliyesema eti hii ni zone mpya wakati P-Lissa ametaja direction tu.Je Mbeya, Rukwa, Katavi kijiografia zipo uelekeo upi wa Tanzania?
ยท Southern Highlands Zone: Iringa ยท Mbeya ยท Njombe ยท Rukwa ยท Ruvuma ยท Songwe ยทJe Mbeya, Rukwa, Katavi kijiografia zipo uelekeo upi wa Tanzania?ยท
Njoo dmHabari wakuu,
Kama kichwa cha tangazo langu kisemavyo,nahitaji mume mkristo mwenye hofu ya Mungu.Awe na umri kuanzia miaka 34 na kuendelea,mkweli,muwazi na awe na shughuli halali kumpatia kipato.A
Kwa upande wangu mimi ni muajiriwa na jina miaka 34,mkristo,na nina mtoto mmoja.Napatikana Kusini magharibi mwa Tanzania.Mwenye uhitaji karibu sana Inbox.
Karibuni!
Ni mwanamke na una 34. Hv at that age unaolewa ili ukafanye nn kwenye ndoa wakati menopause inagonga hodi?Kwa upande wangu mimi ni muajiriwa na jina miaka 34,mkristo,na nina mtoto
Ujuaji wa kilofa sehemu isiyohusikaMkristo ni mtu yeyote mwenye akili timamu na kwa kupenda kwake mwenyewe anaenda ndani ya majengo yaitwayo kanisa ama maeneo ya wazi kupeleka fedha ili akatangaze vivutio vya utalii na maeneo tengwa ya nchi mbalimbali za mashariki ya kati km Israel, Jordan,Iraq pia na nchi kadhaa za Ulaya kwa masirahi ya waandishi wa kitabu kilichopewa jina la biblia.
Umri wangu sihitaji kuzaa, nahitaji wa kuishi nae tuu.Habari wakuu,
Kama kichwa cha tangazo langu kisemavyo,nahitaji mume mkristo mwenye hofu ya Mungu.Awe na umri kuanzia miaka 34 na kuendelea,mkweli,muwazi na awe na shughuli halali kumpatia kipato.A
Kwa upande wangu mimi ni muajiriwa na jina miaka 34,mkristo,na nina mtoto mmoja.Napatikana Kusini magharibi mwa Tanzania.Mwenye uhitaji karibu sana Inbox.
Karibuni!
Mimi huyu ndo namhitaji maana sitaki ambaye anataka watotoNi mwanamke na una 34. Hv at that age unaolewa ili ukafanye nn kwenye ndoa wakati menopause inagonga hodi?
Mbeya, Songwe, Rukwa, Katavi, Njombe, IringaKusini magharibi mwa Tanzania? Hii itakuwa zone mpya!
๐ Kazoe Nyanda za Juu Kusini. Ukimtajia Kusini Magharibi anachanganyikiwaJe Mbeya, Rukwa, Katavi kijiografia zipo uelekeo upi wa Tanzania?
Another one from Single mother 34 years. Ukimpata msisahau kutuma kadi ya michango kimsingi nitachangia depends on financial situation nitayokuwa nayo wakati husika.Habari wakuu,
Kama kichwa cha tangazo langu kisemavyo,nahitaji mume mkristo mwenye hofu ya Mungu.Awe na umri kuanzia miaka 34 na kuendelea,mkweli,muwazi na awe na shughuli halali kumpatia kipato.A
Kwa upande wangu mimi ni muajiriwa na jina miaka 34,mkristo,na nina mtoto mmoja.Napatikana Kusini magharibi mwa Tanzania.Mwenye uhitaji karibu sana Inbox.
Karibuni!