Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wenye watoto wanapatikana kusini ipi?Mh? Una mtoto. Unapatikana kusini magharibi.
Jiongeze mkuu kusini magharibi ni kama kusema nyanda za juu kusini hapo kuna Iringa, Njombe, Mbeya, SongeaKusini magharibi mwa Tanzania? Hii itakuwa zone mpya!
Acha kukatisha watu tamaa lolote linawezekana30+ wengi wapo ktk ndoa zao.
Aliyekuzalisha mtoto yupo wapi?kama bado yupo hai ninyi mna bond kubwa kupitia mtoto wenu ya kudumu ktk mahusiano yenu kuliko kuanza mahusiano mapya,na kwa umri huo kama siyo kuwa na mtoto ingebidi usubiri kuolewa na mgane.
Bro mbona unashindwa kujiongeza mfate Pm muyajenge you never know kumbe ndio soul mate wakoMimi hapa. Karibu pm pako waxi
Songea ni Kusini/Kusini MasharikiJiongeze mkuu kusini magharibi ni kama kusema nyanda za juu kusini hapo kuna Iringa, Njombe, Mbeya, Songea
Wewe sio muoaji how come unauliza maswali ya kiwaki
Atakuwa zege😃Bro mbona unashindwa kujiongeza mfate Pm muyajenge you never know kumbe ndio soul mate wako
Ukimfuata pm haya yote mtajadili unataka afunguke hapa muanze kumpondaKila la kheri mkuu.. ila ungeweka na maelezo Full hapa hapa, where is baba mtoto my frend?
Ndoa ni zaidi ya menopauseNi mwanamke na una 34. Hv at that age unaolewa ili ukafanye nn kwenye ndoa wakati menopause inagonga hodi?
Haya chacha0757416664
We kweli ulikimbia jiografi kama Songea ni kusini mashariki vipi kihusu MtwaraSongea ni Kusini/Kusini Mashariki
Kaskazini magharibi yaani Kagera na Kigoma si support hayo mahusiano.Mimi nitakufaa,karibu pm pia napatikana kaskazini kaskazini magharibi (NNW) mwa Tanzania
Rukwa ,katavi nafikiri anamaanisha hizoKusini magharibi mwa Tanzania? Hii itakuwa zone mpya!
Niko tayari nitumie namba ya simuHabari wakuu,
Kama kichwa cha tangazo langu kisemavyo,nahitaji mume mkristo mwenye hofu ya Mungu.Awe na umri kuanzia miaka 34 na kuendelea,mkweli,muwazi na awe na shughuli halali kumpatia kipato.A
Kwa upande wangu mimi ni muajiriwa na jina miaka 34,mkristo,na nina mtoto mmoja.Napatikana Kusini magharibi mwa Tanzania.Mwenye uhitaji karibu sana Inbox.
Karibuni!